kwa wataalamu wa simu ni faida gani ya kuroot simu ya android pia na hasara zake.
samahani nn maana ya kuroot
samahani nn maana ya kuroot
VPC client ndio inasaidia nini kwenye cm, nitoe ujinga
Rooting ni kama formatting ila hapa inakua sio kufuta data ila unaifungua mifumo inayozuia cm yako kukubali kila aina ya installations.. Katika hali ya kawaida cm yko ina mifumo inayo controll/administer installations and other operations sasa ili uweze kugain full control ya usimamizi wa cm yko lazima ufanye rooting hapa unakua free from restrictions and u can operate ur phone at ur choice..!!!!!
Jaman nisaidien nini kazi ya kitufe cha back up ?
Ku root cm nibaada ya madeveloper kukaa nakuichunguza cm husika nakuona kuana mpungufu fulani katika matumizi.mfano kuna cm zinakuwa na mpungufu katika network.au ram. Nakadha hivyo hutumia ujuzi na muda kuwakosoa waundaji wa cm husika hivyo kwa wewe ambaye umekwisha nunua cm basi wao hukuwezesha kupitia mtandao kip unatakiwa kufanya ili kuinoresha cm yako mfano kuna cm kama htc nexus one ni cm nzuri lakini ina ram ndogo(yaani memory yandani ya cm)ni mb 500 ambapo ukiweka apps kama 10 inaweza kukuonyesha kwamba memory haitoshi so kwa kuifanyia root zile apps zote zinaweza kuamia kwenye memory card ya ya nje kamani 2gb au 4gb itategemea nabaada ya kufaya hivyo cm
Inaongeza speed ya internet
Inaboresha ulaji.au matumizi ya battery
Na itategemea umeingiza rom ip
Kuna synogenmod5-10 nk.hasara hakuna ukiwa makini na maelezo
THANKS
Rooting ni kama formatting ila hapa inakua sio kufuta data ila unaifungua mifumo inayozuia cm yako kukubali kila aina ya installations.. Katika hali ya kawaida cm yko ina mifumo inayo controll/administer installations and other operations sasa ili uweze kugain full control ya usimamizi wa cm yko lazima ufanye rooting hapa unakua free from restrictions and u can operate ur phone at ur choice..!!!!!
leo nimefunguka kweli pande hii, sikuwa najua kbs. Sasa hyo rooting unafanya mwenyewe ama kuna sehemu malum?
Ipo SanDroidVPN,TROIDVPN,DROIDVPN, au hata OpenVPN zinakupa Internet ya Bure bila kikomo