Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,397
- 19,323
1. Dhumini nini?
2. Maisha ni nini!?
3. Tunavyoishi kama binadanamu na kuamua maisha ya hichi yaishe mathalani kuku, mbuzi, mti, kuna yule anayeamua nasi tusitishiwe maisha na viumbe vyenye nguvu kuliko sisi kama tulivyo kwa tunayowaamulia? Inaweza kuwa na sisi ni mifugo yao.
2. Maisha ni nini!?
3. Tunavyoishi kama binadanamu na kuamua maisha ya hichi yaishe mathalani kuku, mbuzi, mti, kuna yule anayeamua nasi tusitishiwe maisha na viumbe vyenye nguvu kuliko sisi kama tulivyo kwa tunayowaamulia? Inaweza kuwa na sisi ni mifugo yao.