Sababu kubwa ni uhuru ambao mtu anaupata,mfano umetokea mkoani na ulikuwa chin ya wazazi na sasa hv unakuja chuo dar huna ndugu wala mtu unayemfaham ina maana hakuna anaye kucontrol ni ww na nafsi yako,i mean unapata uhuru kwahyo yale maadili yte uliokuwa nayo yanapotea.
NB;Sio kila mtu anabadilika anavyopata uhuru