Acha kutumia vitu vya baridi sana yaani chini ya 9°C...pia usiwe ni mpiga deki wa uvinza,pia usiwe ni mpigaji wa kelele sana hasa za mabishano ya mpira au siasa...jaribu kumuona na mganga kwa utaalam zaid
Acha kutumia vitu vya baridi sana yaani chini ya 9°C...pia usiwe ni mpiga deki wa uvinza,pia usiwe ni mpigaji wa kelele sana hasa za mabishano ya mpira au siasa...jaribu kumuona na mganga kwa utaalam zaid
Kamuone mganga aka doctor...au wait wataalam zaidi,kwani kila tiba inatokana na hali ya development ya ugonjwa..but acha vitu nilivyosema hapo juu 👆👆👆 kama unavifanya