Nini chanzo cha bifu kati ya Mkuu na Diallo?

Nini chanzo cha bifu kati ya Mkuu na Diallo?

Chimo

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2008
Posts
714
Reaction score
364
Sio Siri tena mkuu wa mkoa mstaafu wa Kilimanjaro Mh.Said Meck Sadiq anajianda kuuva uwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza

Kwa mantiki hiyo Mwenyekiti wa sasa hivi Ndg. Anthony Diallo anajuwa kuwa kuna vuguvugu linaloendelea la kumg'oa kwenye uchaguzi utakaofanyika hivi karibuni.

Yapo yanayosemwa kuwa mkuu picha haziendi na jamaa yake kipenzi aliyeahidiwa kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya kampeni kuwa hata muangusha kwenye serikali yake
 
akikosa wa kugombana naye anaweza kuchukua hata kinyago akaanza kutukanana nacho
Hahaha sasa kama wewe akili yako ndivyo ilivyo hivi unadhani kila mtu naye yupo kama wewe, mapokezi ya Rais mikoani ni ishara tosha kuwapa message kwamba mpo wachache.
 
Hahaha sasa kama wewe akili yako ndivyo ilivyo hivi unadhani kila mtu naye yupo kama wewe, mapokezi ya Rais mikoani ni ishara tosha kuwapa message kwamba mpo wachache.
Mapokezi! Niliwahi kuona humu jamaa anauliza" watu wako wapi x 3 hivi kama sikosei kisha alitoa bonge la tusi, uligundua nini?
 
Sio Siri tena mkuu wa mkoa mstaafu wa Kilimanjaro Mh.Said meck sadiq anajianda kuuva uwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza.

Kwa mantiki hiyo Mwenyekiti wa sasa hivi Ndg.Anthony Diallo anajuwa kuwa kuna vuguvugu linaloendelea la kumg'oa kwenye uchaguzi utakaofanyika hivi karibuni.

Yapo yanayosemwa kuwa mkulu picha haziendi na jamaa yake kipenzi aliyeahidiwa kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya kampeni kuwa hata muangusha kwenye serikali yake
Nadhan Dialo amejichanganya sehemu
 
Sio Siri tena mkuu wa mkoa mstaafu wa Kilimanjaro Mh.Said meck sadiq anajianda kuuva uwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza.

Kwa mantiki hiyo Mwenyekiti wa sasa hivi Ndg.Anthony Diallo anajuwa kuwa kuna vuguvugu linaloendelea la kumg'oa kwenye uchaguzi utakaofanyika hivi karibuni.

Yapo yanayosemwa kuwa mkulu picha haziendi na jamaa yake kipenzi aliyeahidiwa kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya kampeni kuwa hata muangusha kwenye serikali yake
Umenikumbusha yule mwenyekiti aliyeuawa kwa kupigwa mawe kama jambazi, Mwanza mna mambo nyie tukio lile lilihudhunisha kila mpenda amani!!!
 
Unaweza kukuta wamenyanganyana waganga wa kienyeji. Chezea mangosha hao! Kwa imani za aina hiyo wala hawataki mchezo na ndio maana hata ile vita ya Ntetema kaielekeza kwa Wasukuma.
 
Mapokezi! Niliwahi kuona humu jamaa anauliza" watu wako wapi x 3 hivi kama sikosei kisha alitoa bonge la tusi, uligundua nini?
Hao watu alikua anamaanisha wenye kero mbalimbali alipouliza kero zao ni za kuhusu nini akajibiwa ndipo alipowapuuza sababu walikua na kero za kipumbavu sasa kwasababu nyinyi huwa na kawaida ya kudanywa kama kuku na kuanza kushabikia vitu msivyojua undani wake bila kujitambua mkaanza kuitikia hekaya za kusadikika.

Tundu alishawaharibu akili Zitto naona nae anaendelea na kudanganya wenye akili fupi kama kawaida ya wapinzani wanatake advantage ya ufinyu wa akili za wanachama wao.
 
Back
Top Bottom