Nini chanzo cha bifu kati ya Mkuu na Diallo?

Nini chanzo cha bifu kati ya Mkuu na Diallo?

Mi nadhani bifu lilianzia kwa mzee wa kuamsha dude aliposema kua ametumiwa sms na dialo kua bashite aliniomba aonyeshe vyeti kwenye television yangu lkn kumbe hana
 
Kwa hiyo Meck Sadick akigombea uenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza ni beef kati ya Magufuri na Diallo?
 
Hahaha sasa kama wewe akili yako ndivyo ilivyo hivi unadhani kila mtu naye yupo kama wewe, mapokezi ya Rais mikoani ni ishara tosha kuwapa message kwamba mpo wachache.
Wamefukuzwa kazi, wanaumia kumuona JPM anadunda tu. Ngoja 'watasubiri wee but where.'
 
Mheshimiwa nadhani hata yeye mwenyewe akijiangaliaga kwenye kioo anagombana na anachokiona huko!! Kila mtu mwenye hela au mafanikio ni adui wa jamaa!!! Hajawahi mchukia masikini hata siku moja yeye ni matajiri tu!!
 
Hahaha sasa kama wewe akili yako ndivyo ilivyo hivi unadhani kila mtu naye yupo kama wewe, mapokezi ya Rais mikoani ni ishara tosha kuwapa message kwamba mpo wachache.
Mapokezi yapi mkuu? Haya ya kuwahonga boda boda hela ya kula na petrol lita tano au haya ya kufunga kazi watu wazurure mtaani ili mseme jamaa kapokewa na watu wengi!!!Imeshakula kule mkuu
 
Magufuli ni mdini, mkabila na mwenye kiburi sana asiyejua kuwa cheo ni dhamana.. walaniwe wote waliomteua huyu.. huyu mtu anahubir chuki na kugawa watu kisa uzalendo mfu?.
Atangaze kwanza mali zake mbona hatangazi
 
shetani wakigombana wao kwa wao ndiyo amani yenyewe kwetu sisi bin-adamu.
 
Mapokezi yapi mkuu? Haya ya kuwahonga boda boda hela ya kula na petrol lita tano au haya ya kufunga kazi watu wazurure mtaani ili mseme jamaa kapokewa na watu wengi!!!Imeshakula kule mkuu
Hakuna mtu mwenye akili aende mpokea magufuli hayupo
 
Labda aliwai kumfunga goli ktk makuzi yao maana nasikia mkuu alikuwa anapenda kuwa golikiper na ikitokea ukamfunga anakununia haongei na wewe hata mwaka mzima
 
Hahaha sasa kama wewe akili yako ndivyo ilivyo hivi unadhani kila mtu naye yupo kama wewe, mapokezi ya Rais mikoani ni ishara tosha kuwapa message kwamba mpo wachache.
Usiseme mikoani Bali sema mikoa ya usukumani
 
Hahaha sasa kama wewe akili yako ndivyo ilivyo hivi unadhani kila mtu naye yupo kama wewe, mapokezi ya Rais mikoani ni ishara tosha kuwapa message kwamba mpo wachache.
Hata jambazi maarufu likitembezwa barabarani watu watajitokeza wengi kulishuhudia!
 
Kuchukia Watu bila sababu ya Msingi na kuwapenda watu kwa vile wanakuchekea huo ni UGONJWA...
 
Hahaha sasa kama wewe akili yako ndivyo ilivyo hivi unadhani kila mtu naye yupo kama wewe, mapokezi ya Rais mikoani ni ishara tosha kuwapa message kwamba mpo wachache.


duh!
Nilitegemea ustuke kama hata mwanza tu huko anapo jinasibu kuw ani nyumbani inahitaji kuweka mafuta bure bodabvoda na kufunga ofisi \zote za serekli mpaka mahakama ili mradi tu watu waende huko, lakini bado watu ni wale wale wa kijani.

Hivi unajua Wenje hata leo akiitisha mkutano hapo mwanza anaweza funga nyomi mara tano ya hao walio bebwa jana, tena wanakuja bure kwa nauli zao na no posho hasa bodaboda ?
 
Back
Top Bottom