Kuna thread iliwah kuletwa humu,bahat mbaya niliipoteza.kimsing inafanana na hii nataka kuwauliza..kuna rafiki yangu ana grfnd wake muda sasa wako nae.na ana mpango wa kumuoa kabisa kwa ninavyofahamu au kwa anavyoniambia..tatizo kamfuma anawasiliana na so calld mzaz mwemzie..kuna mwanaume alizaa nae takribani miaka sita imepita,baada ya kua anarud kalewa na kipigo kila cku aliondoka mwenyewe,hakupenda hiyo maisha.na mtoto kumwacha huko kwa baba yake.coz tayar alikua mkubwa..my best frnd ananiuliza afanyeje kukomesha hii mambo..?kwani anahc kwa mwendo huo kukawa bado na kupendana kat yao..nimeona nilete kwenu pia kuona nini cha maana kufanya.