Nini Athari za Social Medias?

Nini Athari za Social Medias?

Mlulajr

Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
80
Reaction score
49
Habari za wakati huu ndugu zangu, Leo nmekuja kwenu nikijaribu kuhoji athari za social medias katika maendeleo ya vijana. Tumeona faida nyingi 2 za Social Media (Mitandao ya kijamii) Ila leo nngependa 2angalie upande wa pili wa athari za mitandao ya kijamii katika maendeleo ya vijana. Je zipi ni athari za Social Media?
 
bana mlula athari ni nyingi lkn hii ya hacking inaniumiza sana na nmeshuhudia jamaa yangu wa karibu kajeruhiwa na MTU akimshutumu kumdhalilisha mtandaoni kumbe so yeye jamaa kuja kugundua kamuonea MTU asiye na hatia akamfata jamaa kumuomba msamaha lkn kashamtia kilema fake ids ni matatizo
 
bana mlula athari ni nyingi lkn hii ya hacking inaniumiza sana na nmeshuhudia jamaa yangu wa karibu kajeruhiwa na MTU akimshutumu kumdhalilisha mtandaoni kumbe so yeye jamaa kuja kugundua kamuonea MTU asiye na hatia akamfata jamaa kumuomba msamaha lkn kashamtia kilema fake ids ni matatizo

Kweli kabisa ndugu
 
Nyingine ni uvivu na kushusha vipaji mbalimbali,unakuta mtu mda mrefu yupo kwenye simu kuchati na kuchekacheka na watsup....
 
Nyingine ni uvivu na kushusha vipaji mbalimbali,unakuta mtu mda mrefu yupo kwenye simu kuchati na kuchekacheka na watsup....

Hii ni kweli, vjana weng 2mekuwa wa2 wakushinda kwny mitandao ya kijamii kuliko kujishughulisha na mambo ya maendeleo
 
Kila chenye faida kina hasara zake
 
Hiyo social medias ulivyoikazania... wingi wa medium ni media mkuu.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu, Leo nmekuja kwenu nikijaribu kuhoji athari za social medias katika maendeleo ya vijana. Tumeona faida nyingi 2 za Social Medias (Mitandao ya kijamii) Ila leo nngependa 2angalie upande wa pili wa athari za mitandao ya kijamii katika maendeleo ya vijana. Je zipi ni athari za Social Medias?

Unampa nani hii kazi? Utamlipa?
 
Asante nmejifunza ki2 kaka
Ndio tunasaidiana kidogo kidogo mkuu

1. Kupoteza muda (Kwa wale ambao wanatumia muda mwingi)
2. Matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii huweza kuharibu muonekano wako kwa jamii. Hata waajiri wanafanya background check huku kwene mitandao siku hizi.
 
inaathiri uwezo wa kufikiri..
muda wa kufanya mambo ya kujijenga binafsi unapungua pia.
zinachangia kuanika privacy hadharani na baadhi ya watu kuathirika katika cyber bullying.
 
Ndio tunasaidiana kidogo kidogo mkuu

1. Kupoteza muda (Kwa wale ambao wanatumia muda mwingi)
2. Matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii huweza kuharibu muonekano wako kwa jamii. Hata waajiri wanafanya background check huku kwene mitandao siku hizi.

Kweli kabisa unakuta mwajiri wako anakuchek kwny network zako zote, na asilimia kubwa ha2zi2mii in positive ways.
 
Nyingine ni uvivu na kushusha vipaji mbalimbali,unakuta mtu mda mrefu yupo kwenye simu kuchati na kuchekacheka na watsup....
Umepatia sana,
Vijana wanasema...kunywa ntalipa.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu, Leo nmekuja kwenu nikijaribu kuhoji athari za social medias katika maendeleo ya vijana. Tumeona faida nyingi 2 za Social Media (Mitandao ya kijamii) Ila leo nngependa 2angalie upande wa pili wa athari za mitandao ya kijamii katika maendeleo ya vijana. Je zipi ni athari za Social Media?

Halafu Kwa Mtindo Huu Ndiyo Tunataka ELIMU Ya Tanzania Ikue? Utawadanganya Hao Hao MAPOPOMA Ila Nimekushtukia Hilim Swali Utakuwa Umeulizwa Darasani Hivyo Umelileta Hapa Kwa Makusudi Ili Ukusanye Points Za Ki Floyd Mayweither Na Ufaulu Assignment.
 
Nyingine ni uvivu na kushusha vipaji mbalimbali,unakuta mtu mda mrefu yupo kwenye simu kuchati na kuchekacheka na watsup....

Mkuu hapo umenena watu wanakuwa brain washed kutokana na mdawanaoutumia mtandaoni bila kufanya la muhimu ndo maana tunapata kizazi cha dot com chenye uwezo mdogo wa kufikiri
 
Mkuu hapo umenena watu wanakuwa brain washed kutokana na mdawanaoutumia mtandaoni bila kufanya la muhimu ndo maana tunapata kizazi cha dot com chenye uwezo mdogo wa kufikiri

ndugu brainwashing inafanya kazi kwa NTU mbumbumbu so wote
 
Back
Top Bottom