uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,348
- 1,097
JANUARY ni mwezi wa kwanza wa mwaka . asili ya jina hili au mwanzo wake ni MUNGU wa kiroma aliyekuwa anaitwa JANUS .
JANUS ni Mungu ambaye waroma , walimuabudu,( Roman empire kipindi hicho takribani miaka 700 Bce).
Mungu huyu ni Mungu wa mwanzo na mpito yaani ni Mungu wa malango na mwisho wa Muda. Anasadikiwa ana sura mbili , mbele na nyuma , Roman empire waliamini kuwa anaangalia future and past ( zamani na kipindi kijacho).
mungu huyu Janus viwakilishi vyake katika ulimwengu wa roho ni MILANGO, MAGETI,MADARAJA , yaani vitu vinavyoashiria kupita .
Mara nyingi mungu huyu wa kuzimu yupo kazini kipindi cha Mwisho wa mwaka, anakaa katika mabarabara , madaraja .
mungu huyu Janus huwa anapitisha maazimio ya Yale uliyoyafanya na yale unayotarajia . anapenda sana kukumbukwa kwa sherehe kwa matukio yaliyopita au yajayo ... January na December ni kipindi chake.
mungu huyu anahusika sana na mtembeo , mabadiliko na muda.
Ukisoma maandiko mbalimbali hasa Roman mythology, alikuwa mungu wa mwanzo wa dunia na alilinda geti la mbinguni ..... Kuonyesha ni wa hila na ni Lucifer mzima , alijiita god of god ( diuom deo).
wakristo wengi walikataa kumuabudu mungu huyu , ila wengine walitekwa na mungu huyu . Leo hii wanasherehekea pasipo kujua ...... Ni vyema ukasherehekea ukiwa na wokovu kuliko ukachotwa na mazingira .... Kumbuka maandiko ya biblia matakatifu kipindi cha Eliya nabii , manabii walikuwa zaidi ya 400 fake.....
Refer matendo 13:6-7, 14:11-13 , 16;16-18
Kwa taarifa yako mwanzo wa mwaka ulikuwa ni mwezi wa march lakini kwa hila za mungu Janus imekuwa January , mpaka Leo.
Maana ya kila mwezi
1. January---- janus mungu
2. February---mungu wa kirumi februus kwa ajili ya utakaso( god of purification)
3. March---mars , mungu wa vita
4. April--- Aphrodite , mungu wa uzuri au neno la kilatini aperire , kipindi maua mimea inachipua.
5. May --- maia mungu wa dunia kipindi mimea inakua.
6. June---juno mungu wa ndoa na mke wa sayari Jupiter mfalme wa miungu , mwezi huu ndiyo mwezi wa sherehe za ndoa ,,,,inaaminika kwa hii miungu kuwa kila atakayeoa mwezi huu atapata mafanikio.
7. July--- zamani ilijulikana kama Quintilis( neno la kilatini fifth 5 kwa kuanzia march). Baadaye ulijulikana kwa jina la Julius Caesar kwa heshima ya kupangilia kalenda mwaka 46bce.
8. August--- august Caesar kwa heshima ya binamu na mrithi wa Julius Caesar.
9. September--- kutoka neno la kilatin , September ( seven ukianzia mwezi march) . ulikuwa mwezi wa saba kwa mujibu wa kalenda ya kirumi.
10. October--- kutoka neno la kilatini octo ( 8 kuanzia mwezi march kalenda ya kirumi)
11. November--- kilatini novem (9)
12. December---- kilatin decem (10)
Ayoub 22:21 "mjue sana Mungu , ili uwe na amani ; ndivyo mema yatakavyokujia....
be inspired
JANUS ni Mungu ambaye waroma , walimuabudu,( Roman empire kipindi hicho takribani miaka 700 Bce).
Mungu huyu ni Mungu wa mwanzo na mpito yaani ni Mungu wa malango na mwisho wa Muda. Anasadikiwa ana sura mbili , mbele na nyuma , Roman empire waliamini kuwa anaangalia future and past ( zamani na kipindi kijacho).
mungu huyu Janus viwakilishi vyake katika ulimwengu wa roho ni MILANGO, MAGETI,MADARAJA , yaani vitu vinavyoashiria kupita .
Mara nyingi mungu huyu wa kuzimu yupo kazini kipindi cha Mwisho wa mwaka, anakaa katika mabarabara , madaraja .
mungu huyu Janus huwa anapitisha maazimio ya Yale uliyoyafanya na yale unayotarajia . anapenda sana kukumbukwa kwa sherehe kwa matukio yaliyopita au yajayo ... January na December ni kipindi chake.
mungu huyu anahusika sana na mtembeo , mabadiliko na muda.
Ukisoma maandiko mbalimbali hasa Roman mythology, alikuwa mungu wa mwanzo wa dunia na alilinda geti la mbinguni ..... Kuonyesha ni wa hila na ni Lucifer mzima , alijiita god of god ( diuom deo).
wakristo wengi walikataa kumuabudu mungu huyu , ila wengine walitekwa na mungu huyu . Leo hii wanasherehekea pasipo kujua ...... Ni vyema ukasherehekea ukiwa na wokovu kuliko ukachotwa na mazingira .... Kumbuka maandiko ya biblia matakatifu kipindi cha Eliya nabii , manabii walikuwa zaidi ya 400 fake.....
Refer matendo 13:6-7, 14:11-13 , 16;16-18
Kwa taarifa yako mwanzo wa mwaka ulikuwa ni mwezi wa march lakini kwa hila za mungu Janus imekuwa January , mpaka Leo.
Maana ya kila mwezi
1. January---- janus mungu
2. February---mungu wa kirumi februus kwa ajili ya utakaso( god of purification)
3. March---mars , mungu wa vita
4. April--- Aphrodite , mungu wa uzuri au neno la kilatini aperire , kipindi maua mimea inachipua.
5. May --- maia mungu wa dunia kipindi mimea inakua.
6. June---juno mungu wa ndoa na mke wa sayari Jupiter mfalme wa miungu , mwezi huu ndiyo mwezi wa sherehe za ndoa ,,,,inaaminika kwa hii miungu kuwa kila atakayeoa mwezi huu atapata mafanikio.
7. July--- zamani ilijulikana kama Quintilis( neno la kilatini fifth 5 kwa kuanzia march). Baadaye ulijulikana kwa jina la Julius Caesar kwa heshima ya kupangilia kalenda mwaka 46bce.
8. August--- august Caesar kwa heshima ya binamu na mrithi wa Julius Caesar.
9. September--- kutoka neno la kilatin , September ( seven ukianzia mwezi march) . ulikuwa mwezi wa saba kwa mujibu wa kalenda ya kirumi.
10. October--- kutoka neno la kilatini octo ( 8 kuanzia mwezi march kalenda ya kirumi)
11. November--- kilatini novem (9)
12. December---- kilatin decem (10)
Ayoub 22:21 "mjue sana Mungu , ili uwe na amani ; ndivyo mema yatakavyokujia....
be inspired