5. Apige marufuku matumizi ya magari ya kifahari na ambayo uendeshaji wake ni gharama kubwa katika ofisi za kawaida (ila tu mawaziri na raisi)
6. Apige marufuku semina na makongamano yote yasiyo ya lazima yanayogharamiwa na ofisi za serikali
7. Aondoe urasimu katika ofisi za umma kama vile uhamiaji, kwa wakurugenzi wa wilaya, kwa wakuu wa wilaya n.k
8. Arekebishe mashirika ya pensheni na kuyafanya yatoe rate sawa na kusiwe na urasimu wala usumbufu wakati wa kufuatilia mafao...
9. Ahakikishe zinatengezwa master plans za maendelezo ya miji yote Tanzania, zikizingatia miundombinu muhimu kama barabara na maji...
10. Aweke ufuatiliaji wa karibu katika taasisi za umma kama vile mahospitalini na kuhakikisha rushwa na urasimu vinapunguzwa au kukomeshwa...
11. Atengeneze mifereji na mabwawa makubwa kutoka mito yetu tuliyo nayo yatakayowezesha kupatikana maji kwa matumizi ya kibinadamu na kilimo
12. Afungue mashamba makubwa ya kisasa ya mazao mbalimbali na kuyakodisha kwa wananchi kwa riba nafuu na condition wazi za kima cha uzalishaji
13.
14.