ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,262
- 19,113
Kuna mingine unaituma sms ya maana yanajibu 'K'. Mijinga sana..
Hahahamm=mimi
Ht=hata
kwsbb, km, yaan,
ugonjwa ule ule!! mna matatizo gani??
Na we unaeweka c badala ya si una tofauti gani na huyo anaetumia xxx?Seriously,hata mm cpend au mtu aandke p... Uyo cyo gentleman n teenager
Xawa tumexikia tutajirekebixha mapema xana. . Natania tu, usije nunaKama wewe ni Mwanaume,halafu nakutumia
message unanijibu kwa kutumia neno
Xawa, Xaxa, Xio, Xixi napenda kukutaarifu una dalili za
kuwa Mike Tyson wa Tanzania...How can you???
Kiswahili sahihi kipo tena rahisi tu, unashindwa nini
kusema Sawa, Sana, Sisi eti unatumia X...Kubwa zima,swagger zenu pelekeni huko huko, mnaiga
mambo yasiyo na msingi...Na hata wewe mwanamke
ukinitext Xawa, Xaxa sitakujibu...kama huwezi
kiswahili fasaha ulichofundishwa usinilete!Mambo
yenu ya tamthilia za marichui ziishie kwenu.Mnakera
mno na huu upuuzi!
Mungu bariki Kiswahili Fasaha!