Ningelijua hili mapema ningekuwa mbali sana kimaendeleo

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,087
15,958
Yaan
1. Financialy
2. Sexual relationshps
3. Frontiers
4. Fame
5. Etc etc etc

Utajiuliza naongelea nini..

Well........ni alcohol

Nmegundua alcohol.....I mean...responsible calculated alcohol drinking

Yaan usilewe..but stay high..tipsy...

Uchangamke..uwe agressive..usiogope kitu....
Inasaidia sana kwenye maisha..

Kupata confidence kwenye kufanya maamuz muhimu ya kimaendeleo

Hata sometime watoto wakali ambao unahisi huwezi hata wa approach.. unajishangaa tu umeruka na stori umeanzisha..no aibu no nothing

Last week nmepresent proposal flan..kwenye kampun flan...hata kama sitopata ila ile presentation ilikua mpaka nimewa overwhelm...yaani wakawa hawana la kusema tena... mmoja kanipigia privately leo anataka kesho kabla sjaenda tena tuonane nae. Nadhani anataka uswahili wa 10 percent..sijui...ila kiukwel alcohol ilisaidia sana...

Tahadhari....USILEWE..uwe tipsy..yaani uchangamke tuu

Alhamis nilikua pale slow leopard Masaki...najipongeza...kuna mtoto m1 ana rangi ya ajabu nikajishangaa tume click tuu from nowhere...

Yote ni nguvu ya alcohol....

Sio kwamba nilikua sinywi..no nilikuwa nakunywa napitiliza hiyo threashold ya kuwa tipsy...so now nmeimasta aiseee inanipa ma confidence yani mpaka naona kama i wasted my time not knowing it.

Uzi tayar...(zingatia..usilewe)

Nmegundua y wazungu wanatumia sana hizo mambo hata maofisini mwao utakuta scotch iko pembeni, anashtua kidogo.
 
Nilicheka Jana kwenye daladala lijamaa linaongea gari zima kama limemeza cd .........kweli usilewe maana lilibadilisha story kama sita tofauti... Domo linanuka gozo mnakunywaga za nini?? Kwa nini msisumbue hao mabaamedi wanaowapa huduma?? Yaani halina aibu hata watu huwajui wewe ni kubwabwaja Tu .........mikubavu mikubwa milevi yote
 
Tatizo hii mada umeileta Jumapili jioni, wanywaji tupo Bar tunafungia weekend wamebaki waliotoka kanisani Asubuhi.
 
Sijawahi kuona scotch kwenye office ya kibongo
Mswahili hawezi kuweka pombe ofisini
manake uwezo wa kuji control ni mdogo sana.....
Sana sana wataharibu kazi....
Waswahili waache wanywe pombe kwenye maharusi huko......
Ama wkend.....
 
Ni pombe gani unayopiga io mzee??, maana me napendaga sana kushtua mara mojamoja ila ishu ni kwamba naogopaga harufu ya pombe itasikika nikiongea
Sinywi mi bia..ni pombe kali tu...kama huwezi kavu unakamix na hata mango juice ili usikaange maini haraka...unapiga shots zako kadhaa ukiwa sawa unaendelea na shughuli zako za kujenga taifa aisee utakua jasiri sana
 
Back
Top Bottom