Ukweli ndiyo huo yoyote yule lazima ajilimbikizie mali, una mfuko ambao matumizi yake hayakaguliwi na CAG kwa nini nisijilmbizie mali...Mawazo finyu na duni sana. Katiba ya mwaka 1977 inatungenezea majizi na majambazi yaliyo madarakani
Mkuu, sikutegemei uwe Mwijaku. Tajiri aambiwe mabaya yake laivu! Vizazi vijavyo vinategemea sana ujasiri wako...Hauna baya Tajiriiπππ
Sawa mkuu π π πMkuu, sikutegemei uwe Mwijaku. Tajiri aambiwe mabaya yake laivu! Vizazi vijavyo vinategemea sana ujasiri wako...
Akili zako yani watu wako hawana choo wala uhakikia wa chakula,hospitali watu wanakufa kama nzi upoteze hela kwenye sayansi ya anga au sio??1. Kufanya mwezi kama Natural satellite
2. Kuactivate Nyota ya Jupiter na Saturn ziwake kama jua ili kuyeyusha barafu sayar ya Neptune, pluto na Uranus.
3. Tanzania tutatengeneza Artificial ozone layer na kwenda kupandwa sayar nyingne.
4. Msisitizo kwenye Elimu ya Anga, wazungu wamepotosha sana. Sayar ziko 4 tu.
5. Kuactivate nyota ambazo haziko active (black holes).
Ni Sera za Rais wetu, sisi ni wajumbe tu.
min -me Shimba ya Buyenze MamaSamia2025 Tajiri Sina BAYA dosho12 imhotep
Mkuu usimsikilize sana bwana Shimba ya Buyenze anakuchota tu yeye mgombea wake ni huyu hapa.Sawa mkuu π π π
Mkuu unamuhukumu bure huyo ni mjumbe tu, mgombea wake ni huyu hapa.Akili zako yani watu wako hawana choo wala uhakikia wa chakula,hospitali watu wanakufa kama nzi upoteze hela kwenye sayansi ya anga au sio??
Leo Genius wetu sijamsikia yuko wapi au ndo aliyosema imhotep yametokeaππMkuu usimsikilize sana bwana Shimba ya Buyenze anakuchota tu yeye mgombea wake ni huyu hapa.
View attachment 3327954
Usipomuona humu ujue teyari ndugu na jamaa wameshamfunga kamba wanafanya utaratibu wa kumpeleka kwa Waganga.
π€£π€£π€£π€£Leo Genius wetu sijamsikia yuko wapi au ndo aliyosema imhotep yametokeaππ
Kama wamemuwahi itasaidia sana maana mambo ni magumu. Deogratias Kisandu wetu alianza hivi hivi tunamuona anabadilisha majina tukadhani utani. Tungemuwahi asingefika huko alikofika!π€£π€£π€£π€£
Inawezekana maana kuna uzi mmoja alijitokeza member ambae anamfahamu, wakaongea kidogo vile ambavyo waliishi shule, huyo member alimshanga Mr president kwanini yupo kwenye hali ile.
Pengine ni kweli hayo ya Imhopet.
Yuko wapi ndugu yetu huyuπππKama wamemuwahi itasaidia sana maana mambo ni magumu. Deogratias Kisandu wetu alianza hivi hivi tunamuona anabadilisha majina tukadhani utani. Tungemuwahi asingefika huko alikofika!
View attachment 3327991
Duh, huyu Kisandu sikuwahi kumjua kabla nimemjua juzi baada ya kuibuka bwana Dennis, ngoja nione kama bwana Dennis mwenyewe kaandika chochote leo.Kama wamemuwahi itasaidia sana maana mambo ni magumu. Deogratias Kisandu wetu alianza hivi hivi tunamuona anabadilisha majina tukadhani utani. Tungemuwahi asingefika huko alikofika!
View attachment 3327991
Tulipata shida sanaaπππDuh, huyu Kisandu sikuwahi kumjua kabla nimemjua juzi baada ya kuibuka bwana Dennis, ngoja nione kama bwana Dennis mwenyewe kaandika chochote leo.
πππTulipata shida sanaaπππ
Wanajamvi poleni na mihangaiko ya kila siku, mambo ni mengi kwenye nchi hii, hekaheka kibao, wengine wanafatilia kesi ya Lissu, wengine Bunge la Dodoma, wengine Bunge la Ulaya (EU), wengine Simba na Yanga, mambo ni Mengi.
Ungepata nafasi ya kuwa Rais wa Tanzania, ni mambo gani mazuri matano ungeyafanya ili ukumbukwe hata ukiwa kaburini?
Inasemekana eti alishakata moto. Wengine wanasema yuko jela maana alipigwa mvua saba baada ya kugombana na mama yake na kumsingizia uchawi. I hope the latter is true! ππΏYuko wapi ndugu yetu huyuπππ
1.Gas supply majumbani wananchi walipie kama LUKU na kutumia na sio mitungi kila siku!!mabomba yatapitishwa Kila nyumba ili iwe rahisi!Wanajamvi poleni na mihangaiko ya kila siku, mambo ni mengi kwenye nchi hii, hekaheka kibao, wengine wanafatilia kesi ya Lissu, wengine Bunge la Dodoma, wengine Bunge la Ulaya (EU), wengine Simba na Yanga, mambo ni Mengi.
Ungepata nafasi ya kuwa Rais wa Tanzania, ni mambo gani mazuri matano ungeyafanya ili ukumbukwe hata ukiwa kaburini?