Mchungaji hii post ni very uziful
Iko hivi kwamba suala zima linachangiwa pia na ukware wetu si wanaume
Uzoefu unaonyesha kuwa kama 'umetembea' na mtoto wa kike yeyote hasa wa mjini, na kama ulishaonyesha uzoefu wa kuclear bills, hukawii kupigwa mzinga kama hivi"
"Switii, niazime 100,000 nimalizie ada ya mtoto, mwisho wa mwezi nakurudishia". SAHAU.
"Baby, kuna rafiki yangu nilimuahidi mchango wa kitchen party, niazime kama 80,000 nitakurudishia". SAHAU.
Cha kunote ni kwamba wako very strategic ni wakati gani wanaomba...inakuwaga pale ambapo mapenzi yapo kwen peak....na mind you, hizi zinakuwa nje ya zile variable costs kama bills za vinywaji, chakula, usafiri, mawasiliano (vocha za hapa na pale nk)
Mimi naona ni aina mpya ya 'utapeli' ulioingia mjini
tatizo, anakwambia hivyo sasa ole wako ukatae au useme sina, ujue hapo ndo mwisho wa penzi, au uthubutu kukumbushia, hapo imekula kwako,
Sasa mi najiuliza, kwa nini watu wanajidhalilisha hivyo? kwa nini utake kitu kwa gia ya kuazima badala ya kuomba kama usaidiwe tu huku ukijua kabisa huu ni mzinga?
Sio ustaaarabu kabisa...sio wadada, sio wakaka....
Sisi wapanda daladala ukikutana naye siti moja hata kama alikuwa na nauli yake anakutolea macho, halafu hata ukimnunulia hiyo vocha baadae atakubip ukimpigia "Nilitaka kukushukuru kwa kuninunulia vocha ...... ha ha ha haaaaaa!Sipendi wa dada wanaowafanya wanaume wao kama ATM, unatoka na mdada for Lunch unaishia mlipia kila kitu na hata voucher anakuomba! Kibaya zaidi unamlipia hadi Taxi
Sisi wapanda daladala ukikutana naye siti moja hata kama alikuwa na nauli yake anakutolea macho, halafu hata ukimnunulia hiyo vocha baadae atakubip ukimpigia "Nilitaka kukushukuru kwa kuninunulia vocha ...... ha ha ha haaaaaa!
hahahaaa.... ukweli mtupu, siku hizi ngoja nikupe formula ambayo karibia itapitishwa na kikao chao cha bungeMchungaji hii post ni very uziful
Iko hivi kwamba suala zima linachangiwa pia na ukware wetu si wanaume
Uzoefu unaonyesha kuwa kama 'umetembea' na mtoto wa kike yeyote hasa wa mjini, na kama ulishaonyesha uzoefu wa kuclear bills, hukawii kupigwa mzinga kama hivi"
"Switii, niazime 100,000 nimalizie ada ya mtoto, mwisho wa mwezi nakurudishia". SAHAU.
"Baby, kuna rafiki yangu nilimuahidi mchango wa kitchen party, niazime kama 80,000 nitakurudishia". SAHAU.
Cha kunote ni kwamba wako very strategic ni wakati gani wanaomba...inakuwaga pale ambapo mapenzi yapo kwen peak....na mind you, hizi zinakuwa nje ya zile variable costs kama bills za vinywaji, chakula, usafiri, mawasiliano (vocha za hapa na pale nk)
Mimi naona ni aina mpya ya 'utapeli' ulioingia mjini
tatizo, anakwambia hivyo sasa ole wako ukatae au useme sina, ujue hapo ndo mwisho wa penzi, au uthubutu kukumbushia, hapo imekula kwako,
Sasa mi najiuliza, kwa nini watu wanajidhalilisha hivyo? kwa nini utake kitu kwa gia ya kuazima badala ya kuomba kama usaidiwe tu huku ukijua kabisa huu ni mzinga?
Sio ustaaarabu kabisa...sio wadada, sio wakaka....
Umeandika kwa hisia sana....pole sana kama yaliisha kukuta....they are very tricky...and professional
Hapo kwenye red ivi huwa inatokea?INASIKITISHA ina maana siku huna na penzi hamna Kaizer au tusemeje?
Sipendi wa dada wanaowafanya wanaume wao kama ATM, unatoka na mdada for Lunch unaishia mlipia kila kitu na hata voucher anakuomba! Kibaya zaidi unamlipia hadi Taxi
Sipendi wa Kaka wanaopiga mizinga wadada, mdada mzuri kama wewe huwezi kosa 50,000 hebu nisaidie ninashida, akipewa huwa harudishi anaendelea kupiga miziga wadada wengine.
Hebu kila mtu aishi kwa urefu wa kamba yake, mambo ya kulazimishana hata zawadi tena zile za bei mbaya kwa jinsia zote yanakera.
Mdada hata hujamjua vizuri anakuomba chain ya kiunoni...Mch kuulizia bei inafika karibu na Milioni hahahahahaha kazi kweli kweli, Mkaka naye kajuana na mdada amepata safari ya Durban unamwomba akuletee suti nyeusi ya Gucci size 42 hahahahahaha
Kila mtu ale kulingana urefu wa kamba zake kama zawadi usichague, Kama ni mapenzi kila mtu anafurahia wala hakuna anayetoa favor ebo!
hahahaaa.... ukweli mtupu, siku hizi ngoja nikupe formula ambayo karibia itapitishwa na kikao chao cha bunge
Viwango vya mikuki kwa sasa
wale wa UDOM - 50,000 hadi 100,000
MUCCOBS - 15,000 hadi 50,000
ST. Augustine (Buzwagi) - 30,000 hadi laki mbili
UDSM - 100,000 hadi laki tano
MUHAS - Vitabu au laki
Walioajiriwa serikalini - laki hadi milioni :dance:
Walioajiriwa NGO - bili hadi starlet
Walio kwenye corporates - Laki 2 hadi milioni tatu
Waliojiajiri - elfu saba hadi milioni kumi
hao hapo juu ni akina dada
kwa akina kaka... bado formula inapitiwa maana wengine wanaomba kuanzia fegi hadi Prado
Ukiona kaanza na Babe or honey ujue mzinga unafuata hapo!!
utasikia Honey, kodi ya nyumba imeisha nimepungukiwa kama laki mbili hivi nimeshalipa laki nne, naomba unikopeshe nisije tolewa kwenye nyumba,,, hahahaha Ukitoa tu SAHAU!
hahahaaa.... ukweli mtupu, siku hizi ngoja nikupe formula ambayo karibia itapitishwa na kikao chao cha bunge
Viwango vya mikuki kwa sasa
wale wa UDOM - 50,000 hadi 100,000
MUCCOBS - 15,000 hadi 50,000
ST. Augustine (Buzwagi) - 30,000 hadi laki mbili
UDSM - 100,000 hadi laki tano
MUHAS - Vitabu au laki
Walioajiriwa serikalini - laki hadi milioni :dance:
Walioajiriwa NGO - bili hadi starlet
Walio kwenye corporates - Laki 2 hadi milioni tatu
Waliojiajiri - elfu saba hadi milioni kumi
hao hapo juu ni akina dada
kwa akina kaka... bado formula inapitiwa maana wengine wanaomba kuanzia fegi hadi Prado
Sipendi wa dada wanaowafanya wanaume wao kama ATM, unatoka na mdada for Lunch unaishia mlipia kila kitu na hata voucher anakuomba! Kibaya zaidi unamlipia hadi Taxi
Sipendi wa Kaka wanaopiga mizinga wadada, mdada mzuri kama wewe huwezi kosa 50,000 hebu nisaidie ninashida, akipewa huwa harudishi anaendelea kupiga miziga wadada wengine.
Hebu kila mtu aishi kwa urefu wa kamba yake, mambo ya kulazimishana hata zawadi tena zile za bei mbaya kwa jinsia zote yanakera.
Mdada hata hujamjua vizuri anakuomba chain ya kiunoni...Mch kuulizia bei inafika karibu na Milioni hahahahahaha kazi kweli kweli, Mkaka naye kajuana na mdada amepata safari ya Durban unamwomba akuletee suti nyeusi ya Gucci size 42 hahahahahaha
Kila mtu ale kulingana urefu wa kamba zake kama zawadi usichague, Kama ni mapenzi kila mtu anafurahia wala hakuna anayetoa favor ebo!
hahahaaa.... ukweli mtupu, siku hizi ngoja nikupe formula ambayo karibia itapitishwa na kikao chao cha bunge
Viwango vya mikuki kwa sasa
wale wa UDOM - 50,000 hadi 100,000
MUCCOBS - 15,000 hadi 50,000
ST. Augustine (Buzwagi) - 30,000 hadi laki mbili
UDSM - 100,000 hadi laki tano
MUHAS - Vitabu au laki
Walioajiriwa serikalini - laki hadi milioni :dance:
Walioajiriwa NGO - bili hadi starlet
Walio kwenye corporates - Laki 2 hadi milioni tatu
Waliojiajiri - elfu saba hadi milioni kumi
hao hapo juu ni akina dada
kwa akina kaka... bado formula inapitiwa maana wengine wanaomba kuanzia fegi hadi Prado
Wewe acha tu...natamani nami nikupige mzinga!