kuna wakati wanawake huwa tunachoka,unaongea na mumeo hadi unachoka,ukimuambia hivi yeye anafanya opposite basi unaamua kumuacha afanye analotaka na ulimwengu utamfunza,akileta ukimwi nyumbani basi na mfe kwa amani tu maana hakuna namna nyingine,ila kwa kuwa ni mumeo basi unaendelea kumpenda na kucheza part yako kama mke ili asije kupata sababu ya kukuhukumu kwa maovu yake,,kwa kweli wanaume mbadilike mnawatesa sana wake zenu kisaikolojia.
Anakupenda hayo madogo......mie mwenzako nasonga ugali saa 8 usiku..hapa najua linalewa huko....likija fasta nalisongea ugali......
Na tuitwe tu wanawake silipigii simu wala msg maana hapa ni kwake litazurura litarudi tu home.......
Nipo. Ntaenda wapi?Ni huyu hapa chini alinifungia ndani.Hivi we mwanaume upo????
Utakuwaje na taarifa na wewe ukirudi unajua kula miugali ulale...hata saa huangaliii
@mcepuko sisi watu wenye mapenzi ya kusamehana na kutonuniana, wako kwenye makaburi siku nyingi, wamebaki wajane na wanaolala mzungu wa nne.Watoto wamebaki wanaangaika mtaani.Namuona mke namtoto wangu wamelala, mke hana noma nimempigia amepokea na amenifungulia Geti muda huu Saa 6 usiku.good enough kaniandalia msosi na maji ya kuoga na hakuna mnuno ananiuliza vi[i umesikia habari za Banadarini Leo?...hahaa...
Ameshanipigia pasi nguo za kesho na anajua kesho nitarudi Saa 8 usiku Jumamosi asubuhi ataacha maagizo kwa Dada aniandalie mchemsho wa samaki asubuhi, dont forget atawatoa kwenye friji wayeyuke na atapiga sim saa nne asubuhi kunijulia hali no mnuno!
Kikubwa jamani tuheshimiane na kupendana ata simu izi tuache kupekuana, sisi huwa wala hatushiki simu za mwenzie, but uwe na adabu ikipigwa ongea apo apo.
Nimekupenda buree mpenzi yani kunywa coca nitakuja kulipa .... wanaume wanatuvuruga sana akili
Umemaliza.Kimsingi mkeo hana shida hata ukilala nje wiki nzima...
mradi yeye anajua wapi moyo wake unatulizwa...
thread za kitoto hizi. mtoa mada si ajabu ni kula kulala.
mimi nikikuambia i miss u naniambia nikufuate chumbani amu unamjibia hapa i miss uunamsubiri hadi saa nane?
Toka na wewe akirudi akute hujarudi
miss you too.....