Hilo ndilo tatizo la mitandao inayoishia magomeni. Ukitoka nje ya jiji kidogo tu "no signal". kaa nayo tu kwanza karibu watajenga mnara wa wireless karibu na kwenu...tehetehee
Hapo Mliman City naona kuna promotion. Wapo vijana wengi wamevaa t-shirt za Zantel wanauza Modem. Nilinunua modem pale zantel hivi karibuni shs. laki moja, pale Mlimani city leo nimekuta wanauza Tshs.elf hamsini.
Hapo Mliman City naona kuna promotion. Wapo vijana wengi wamevaa t-shirt za Zantel wanauza Modem. Nilinunua modem pale zantel hivi karibuni shs. laki moja, pale Mlimani city leo nimekuta wanauza Tshs.elf hamsini.