Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,799
- 2,075
wake za watu hawafai
Be well soon kakaAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman
Homa kali imenikamata toka juz lakin jana na leo imezidi jaman
Naomba mniombee ndugu zangu naumwa sana
Jana usiku ndo nilijuwa nakata moto kabisa nimeenda hospital nimepima lakin madakitar hawajaona ugonjwa wowote lakin natapika, natetemeka nahis kizungu zungu na kichwa kinagonga sana vile vile nahis kama barid na joto hapo hapo
Naumia sana maana siyo kwamba sina pesa za kujitibu pesa zipo lakin sasa sijui naumwa kitu gan
Naumia sana
Niomben ndugu zangu
Wenu london boy
VP kipimo kikubwa umepima. HIVAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman
Homa kali imenikamata toka juz lakin jana na leo imezidi jaman
Naomba mniombee ndugu zangu naumwa sana
Jana usiku ndo nilijuwa nakata moto kabisa nimeenda hospital nimepima lakin madakitar hawajaona ugonjwa wowote lakin natapika, natetemeka nahis kizungu zungu na kichwa kinagonga sana vile vile nahis kama barid na joto hapo hapo
Naumia sana maana siyo kwamba sina pesa za kujitibu pesa zipo lakin sasa sijui naumwa kitu gan
Naumia sana
Niomben ndugu zangu
Wenu london boy
acha kulialia mtoto wa kiume...unaumwa huku umeshika smartphone eee? kuumwa kidigitali hahahaAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman
Homa kali imenikamata toka juz lakin jana na leo imezidi jaman
Naomba mniombee ndugu zangu naumwa sana
Jana usiku ndo nilijuwa nakata moto kabisa nimeenda hospital nimepima lakin madakitar hawajaona ugonjwa wowote lakin natapika, natetemeka nahis kizungu zungu na kichwa kinagonga sana vile vile nahis kama barid na joto hapo hapo
Naumia sana maana siyo kwamba sina pesa za kujitibu pesa zipo lakin sasa sijui naumwa kitu gan
Naumia sana
Niomben ndugu zangu
Wenu london boy
Pole shem au tayari ushamjaza mbitiyaza maana dalili zinaweza anzia kwako
Mtu anayeumwa sana anawezaje kupata nguvu za kuanzisha thread?
Acheni masihara na "kuumwa sana"
Vimafua tu mtu anasema anaumwa sana... ndo maana hii biashara ya "wanaume wa Dar" huwa haiishi.
Gadem!
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman
Homa kali imenikamata toka juz lakin jana na leo imezidi jaman
Naomba mniombee ndugu zangu naumwa sana
Jana usiku ndo nilijuwa nakata moto kabisa nimeenda hospital nimepima lakin madakitar hawajaona ugonjwa wowote lakin natapika, natetemeka nahis kizungu zungu na kichwa kinagonga sana vile vile nahis kama barid na joto hapo hapo
Naumia sana maana siyo kwamba sina pesa za kujitibu pesa zipo lakin sasa sijui naumwa kitu gan
Naumia sana
Niomben ndugu zangu
Wenu london boy
Yani hapo ni kama unamuuliza kinyozi kuhusu nywele...Unayajua mafua ya viral au shwain fluu au mafua ya ndege?
Sasa usishangae mtu kuwa Hoi kwa flu, hlf huyu anaweza kuwa na dengueYani hapo ni kama unamuuliza kinyozi kuhusu nywele...
Hana lolote... hana anachoumwa... anatafuta kiki tu.Sasa usishangae mtu kuwa Hoi kwa flu, hlf huyu anaweza kuwa na dengue
Polee shemelaJaman yaan naumwa ile mbaya shem wangu
Babu dogo anazingua anataka kiki tu basi...sijaona logic hapoMtu anayeumwa sana anawezaje kupata nguvu za kuanzisha thread?
Acheni masihara na "kuumwa sana"
Vimafua tu mtu anasema anaumwa sana... ndo maana hii biashara ya "wanaume wa Dar" huwa haiishi.
Gadem!