Ninaumwa wana JF wezangu maombi yenu tafadhali nisije kata moto

Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman

Homa kali imenikamata toka juz lakin jana na leo imezidi jaman

Naomba mniombee ndugu zangu naumwa sana

Jana usiku ndo nilijuwa nakata moto kabisa nimeenda hospital nimepima lakin madakitar hawajaona ugonjwa wowote lakin natapika, natetemeka nahis kizungu zungu na kichwa kinagonga sana vile vile nahis kama barid na joto hapo hapo

Naumia sana maana siyo kwamba sina pesa za kujitibu pesa zipo lakin sasa sijui naumwa kitu gan

Naumia sana

Niomben ndugu zangu

Wenu london boy
Be well soon kaka
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman

Homa kali imenikamata toka juz lakin jana na leo imezidi jaman

Naomba mniombee ndugu zangu naumwa sana

Jana usiku ndo nilijuwa nakata moto kabisa nimeenda hospital nimepima lakin madakitar hawajaona ugonjwa wowote lakin natapika, natetemeka nahis kizungu zungu na kichwa kinagonga sana vile vile nahis kama barid na joto hapo hapo

Naumia sana maana siyo kwamba sina pesa za kujitibu pesa zipo lakin sasa sijui naumwa kitu gan

Naumia sana

Niomben ndugu zangu

Wenu london boy
VP kipimo kikubwa umepima. HIV
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman

Homa kali imenikamata toka juz lakin jana na leo imezidi jaman

Naomba mniombee ndugu zangu naumwa sana

Jana usiku ndo nilijuwa nakata moto kabisa nimeenda hospital nimepima lakin madakitar hawajaona ugonjwa wowote lakin natapika, natetemeka nahis kizungu zungu na kichwa kinagonga sana vile vile nahis kama barid na joto hapo hapo

Naumia sana maana siyo kwamba sina pesa za kujitibu pesa zipo lakin sasa sijui naumwa kitu gan

Naumia sana

Niomben ndugu zangu

Wenu london boy
acha kulialia mtoto wa kiume...unaumwa huku umeshika smartphone eee? kuumwa kidigitali hahaha
 
Yaani unapima Malaria, Mkojo na Choo kubwa tu halafu unasema Madaktari wamekosa ugonjwa!

Acha kuwaaibisha Madaktari wetu.

Pole Sana mdogo wangu. Ukiwa kifungoni huwa tunakosa uchangamfu wako.
 
Mtu anayeumwa sana anawezaje kupata nguvu za kuanzisha thread?

Acheni masihara na "kuumwa sana"

Vimafua tu mtu anasema anaumwa sana... ndo maana hii biashara ya "wanaume wa Dar" huwa haiishi.

Gadem!

Unayajua mafua ya viral au shwain fluu au mafua ya ndege?
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman

Homa kali imenikamata toka juz lakin jana na leo imezidi jaman

Naomba mniombee ndugu zangu naumwa sana

Jana usiku ndo nilijuwa nakata moto kabisa nimeenda hospital nimepima lakin madakitar hawajaona ugonjwa wowote lakin natapika, natetemeka nahis kizungu zungu na kichwa kinagonga sana vile vile nahis kama barid na joto hapo hapo

Naumia sana maana siyo kwamba sina pesa za kujitibu pesa zipo lakin sasa sijui naumwa kitu gan

Naumia sana

Niomben ndugu zangu

Wenu london boy

Dalili zinafanana na homa ya Dengue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom