Hivi ni halali kwa VIWANJA VYA MCHEZO INCHINI KUMILIKIWA NA CCM! ikumbukwe karibia viwanja vyote vya mpira vipo chini ya ccm japo vilijengwa na serekali enzi zile za chama kimoja na wasimamizi wakuu walikuwa ni serekali lakini sasa vimehodhiwa na CCM hebu tuvitaje kidogo,CCM KIRUMBA -MWANZA,SAMORA-IRINGA,Ali Hassan mwinyi-Tabora,Lake Tanganyika-kigoma,Namfua-Singida,Mkwakwani-Tanga,Jamuhuri_Morogoro,Jamuhuri-Dodoma,Nelson Mandela-Rukwa,Kambarage-Shinyanga,Umoja-shinyanga,Ilulu-Lindi,Ushirika-Kilimanjaro,Uhuru-Dar,Karume-mara,Mao-ze-tung-ZNZ,Amaan-ZNZ na Gombani Pemba,Swali la kujiuliza ni kwanini viwanja hivi havija taifishwa baada ya utaratibu wa chama kuongoza inchi kuachwa! hapa ninahisi CCM wanatudhihaki sana.
My take:ni bora Viwanja hivi vingekuwa chini ya Wizara ya utamaduni na michezo ili kila mtu anae hitaji avitumie kwa manufaa ya wote
My take:ni bora Viwanja hivi vingekuwa chini ya Wizara ya utamaduni na michezo ili kila mtu anae hitaji avitumie kwa manufaa ya wote