Ninataka kuuza hisa zangu katika Kampuni ya TBL

Ninataka kuuza hisa zangu katika Kampuni ya TBL

Uwe na shares certificate yenye jina lako,kitambulisho cha NIDA, nenda kwa broker hisa zilikonunuliwa, wapo wengi Rasilimali, Orbit securities e.t.c mchakato utaanzia hapo.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Uwe na shares certificate yenye jina lako,kitambulisho cha NIDA, nenda kwa broker hisa zilikonunuliwa, wapo wengi Rasilimali, Orbit securities e.t.c mchakato utaanzia hapo.

Everyday is Saturday............................... 😎
Mchakato unaweza chukua muda gani mpaka kupata Fedha taslim
 
Hisa 2000 kwa bei ya soko leo ni 10,900 so itakuwa 20,900,000.
Hapo utalipa kodi kidogo na fee ya broker na fee ya DSE, 20m itabaki.

Nenda kwa broker aliyekununulia hisa hizo, au broker yoyote unayempenda. Mpe cheti chako cha hisa, mwambie akuuzie.
Ni hayo tuuuu
 
Hisa 2000 kwa bei ya soko leo ni 10,900 so itakuwa 20,900,000.
Hapo utalipa kodi kidogo na fee ya broker na fee ya DSE, 20m itabaki.

Nenda kwa broker aliyekununulia hisa hizo, au broker yoyote unayempenda. Mpe cheti chako cha hisa, mwambie akuuzie.
Ni hayo tuuuu
Kuna msemo unasema ...

Nanukuu..

"...ukipata pesa shetani anakusogezea kademu..."

Sasa hapo atashangaa amepewa 20m baada ya wiki mbili zimeisha na hajui alichofanya!!
 
kwa nini usipate muongozo wa kuchukua mkopo benki dhamana iwe hisa zako. Mkopo utakufanya uwe na nidhamu ya pesa kuliko kuziuza. Hiyo ni sawa na kuuza shamba la urithi, hujalitolea jasho hivyo hujui machungu yake
Kuna benki inayokubali hayo mambo??

Hisa zenyewe zinapanda bei na kushuka, leo zipo 10,400 2016 zilikuwa 18,000..

Speculation 2022 zinaweza hata kuwa 7,500.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom