Andrew Nyasury
New Member
- Aug 15, 2018
- 3
- 3
Nina elimu ya kidato cha NNE na cha sita, ni mwanaume miaka 22, ninaishi Tabata-relini, sina uzoefu wa kazi yeyote ila sitashindwa kufanya kazi yoyote halali...kazi ninayoomba yaweza kuwa kiwandani, madukani, tuition au shule kwa masomo ya Geo, History na kisw, pia hotelini....nataka nijikusanye niendelee na masomo...nawasilisha

