Roby Love
Member
- Feb 28, 2019
- 6
- 3
Habari jamani,.samahanini ninaomba kwa mwenye notes za physics,chemistry na mathematics anitumie ili nipate kujisomea maana hali ngumu alafu sina hata chanzo cha kupata maarifa ivyo naomba mwenye izo notes anipatie au kama unajua sehem ama mtandao ntakaoweza kupata tafadhali mnielekeze.Asanteni