Ninani anayebisha kuwa Lowassa sio rais?

Ninani anayebisha kuwa Lowassa sio rais?

H.T.P

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
1,169
Reaction score
1,298
Jamani tusifarijiane mwaka huu CCM imekwisha Lowasa anachukua nchi...

Jana nikiwa nimesimama sehemu napitiapitia vichwa Vya habari kwenye magazeti pale posta mpya, alikuja kijana mmoja aliyejionyesha kama ni msomi....basi kuna gazeti moja liliandika Ukawa wakipewa nchi wataigeuza kua Libya "japo sikumbuki vizuri kile kichwa" na lingine liliandika ntaibadilisha Z'bar kuwa kama singapore asema mahalim seif sharif hamad... Sasa yule kijana akaanza kuponde ile ya seif akisema huo ni usanii haiwezekani, alafu akaanza kusifia ile ya magufuli isemayo wakichukua wapinzani nchi itageuka kua "Libya" jamani yule kijana alizomewa galfa na watu wote waliokua pale ailulizwa maswali magumu..

watu wakaanza kamwambia kawaambie waliokutuma, watanzania tumeamua Lowasa raisi wetu...nikasema safi sana watu wameamka. .sasa wewe ni nani upinge kuwa lowasa sio raisi?
 
Labdae Rais wa huko kwenu Monduli, sisi huku hatumjui kabisaaa na wala asitegemee wala kujidanganya kuwa ataingia Ikulu, hizo no ndoto za mchana kweupeeeee!!!
 
Kwa hiyo wewe tathimin yako ya nani atakuwa rais unaifanyia posta kwenye magazeti,polee sana
 
Jamani mi sinzungumzii mambo ya ukabila hapa nazungumzia uhalisia wa nilichokiona pale posta...
 
Hadi sasa hivi hali imeshajibainisha kuwa lowassa hana majibu ya maswali mengi na nawapambe wake wengi tu wameshapigwa ganzi bado wewe tu,
 
Mpumbavu hutaka kujibu kila kitu bali mwerevu huyahifadhi maarifa
 
lowasa ni raisi wetu mtarajiwa. kula yangu na familia yangu ninampa lowasaaaaa.
 
Magufuli wako lini amekujibu ni kwa jinsi gani alihonga kimada nyumba za serikali? Toa boriti lako kwanza ili uone vizuri kibanzi changu
 
Lowasa raisi ajaye, lakini waziri mkuu atatoka CCM, Kwani CCM, watapata wabunge wengi
 
magufuli wako lini amekujibu ni kwa jinsi gani alihonga kimada nyumba za serikali? Toa boriti lako kwanza ili uone vizuri kibanzi changu

akaleta kivuko chakavu kwa mabilioni,
akawaambia wakazi wa kigamboni waogelee kuja mjini
akazalisha mwanafunzi wa chuo mtoto wa kiume,then akampelekea mkewe,ninyi wananchi atawazalisha...then hana pa kuwapeleka
 
Kwea jinsi nilivyoichoka ccm hata joti akiwekwa upinzani nampigia.... viva ukawa
 
Alipo Tupo
 

Attachments

  • 1441966528246.jpg
    1441966528246.jpg
    10 KB · Views: 371
labdae rais wa huko kwenu monduli, sisi huku hatumjui kabisaaa na wala asitegemee wala kujidanganya kuwa ataingia ikulu, hizo no ndoto za mchana kweupeeeee!!!

tulia dawa ikuingie vizuri wewe. Watu wote na huyu jamaa sema lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
hadi sasa hivi hali imeshajibainisha kuwa lowassa hana majibu ya maswali mengi na nawapambe wake wengi tu wameshapigwa ganzi bado wewe tu,

dawa imekuingia vizuri lakini? Hebu sema lowasaaaaaaaaaaaaa
 
Na Huo Ndio Ukweli Wenyewe Lowasa Ndie Rais Ajae Wengine Wanasindikiza Tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom