Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Tupeni CV zao za uongozi wa mpira.Ally na tembele wanatosha
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Tupeni CV zao za uongozi wa mpira.Ally na tembele wanatosha
Kwa uwezo gani alionao? Maana haendi kucheza mpira bali anaenda kuongoza je? Anauwezo gani kiuongozi?Ningekua kati ya wapiga kura nisinge jiuliza ningempigia Ally Mayai Tembele
Vision,focused na Mipango yake kimpira unaiona kabisa anaweza kutupigisha hatua Fulani toka tulipo leoKwa uwezo gani alionao? Maana haendi kucheza mpira bali anaenda kuongoza je? Anauwezo gani kiuongozi?
Kuchambua mpira (football pundits) na kuongoza mpira (football management) ni vitu tofauti.Tembele ni mgombea sahihi kwa Uenyekiti wa TFF .
Mipango IPI?Vision,focused na Mipango yake kimpira unaiona kabisa anaweza kutupigisha hatua Fulani toka tulipo leo
Mkuu ipogolo hawa watu sio kwamba hawajui au kuona mambo mazuri ya Malinzi bali ni chuki,wivu,ukabila na husda tuu kwa Malinzi. Ukiwauliza embu tupeni historia au uzoefu wa Mayay kwenye uongozi wowote ule achana na mpira hawakupi jibu wanaishia kusema ooh alikuwa mchezaji hodari na kapteni wa Yanga na Taifa Stars. Umetoa mfano mzuir Neville alipoenda Valencia kidogo tuu timu ishuke daraja kama wasingemtimua.Kuchambua mpira (football pundits) na kuongoza mpira (football management) ni vitu tofauti.
Neville alikuwa mchambuzi mzuri sana akaenda Seville kufundisha.Kilichomkuta wengi ni mashahidi.
Mayai ni msomiKwa uwezo gani alionao? Maana haendi kucheza mpira bali anaenda kuongoza je? Anauwezo gani kiuongozi?
Certificate ya Biashara kutoka hapo CBE nae anaingizwa kwenye kundi la Wasomi?Mayai ni msomi
Kasoma elimu dunia pia kasomea uongozi wa mpira
Haya mambo ya experience huwa siyapendi kabisa ni ujinga tu
Give him chance na utaona uwezo wake
Kwa hiyo mnapaona pale ofisi za TFF ndio mahali pakufanyia field na majaribio ya uongozi?Mayai ni msomi
Kasoma elimu dunia pia kasomea uongozi wa mpira
Haya mambo ya experience huwa siyapendi kabisa ni ujinga tu
Give him chance na utaona uwezo wake
Platin ni ushaidi tosha.Kuchambua mpira (football pundits) na kuongoza mpira (football management) ni vitu tofauti.
Neville alikuwa mchambuzi mzuri sana akaenda Seville kufundisha.Kilichomkuta wengi ni mashahidi.
Tungependa kujua kidogo historia yake katika uongozi , hasa wa soka .Ninamuunga Mkono Ally Mayai Tembele kugombea Nafasi ya juu kabisa katika Shirikisho la Mpira Tanzania. Ni wakati sasa wa kuongozwa na mtu wa Mpira, mtu aliyecheza Mpira, Mtu anayejua Falsafa Sahihi ya Mpira wa Ndani na Nje, Mtu mwenye Uzalendo na Uchungu na Soka Letu, Lakini zaidi ya yote ni Msomi. Wajumbe msituangushe katika hili.
MaYai Tembele kwa uongozi Tutakuwa tunajiongopea ila its better than Having malinzi ......