Ninakuwa mwanadar es salaam Wa kwanza kutambua na kuthamini juhudi za mhe PAUL MAKONDA

JAY THE SON

Member
Nov 26, 2017
43
33
Kwa kipindi kirefu nimekua nikifatilia kwa ukaribu sana namna ambavyo Mkuu Wa mkoa Wa dar alivyo mbunifu jasiri na mthubutu katika kuuletea mkoa maendeleo na kujali RAIA Wa mkoa hasa wanyonge nikiri wazi kuwa mkoa na TANZANIA imechelewa sana kupata aina ya viongozi Wa namna hii na hapa ndipo najifunza ya kuwa ni vigumu kuona MCHANGO na thamani ya viongozi hadi pale wanapokua hawapo

Mhe PAUL MAKONDA ameitwa majina mengi lakini haya yote yamezidi kumpa nguvu ya kutenda Kazi TENA kututumikia Sie ambao tunatumia muda mwingi kumbeza na kujifanya vipofu tusiiona anayoyafanya kiongozi wetu huyu

Mhe huyu amefanya mengi mazuri sote ni mashahidi pamoja na kuwa kama binadamu kuna mapungufu lakini itoshe kutambua na kuthamini MCHANGO Wa Kijana mwenzetu jasiri na anayesimamia kile anachokiamini

Ni wakati Wa wakazi Wa mji huu kutambua na kuthamini juhudi za kiongozi huyu na hakika alichokikusudia kwetu tutakiona sina shaka kuwa na kiongozi anayetumia muda wake mwingi kufikiria awafanyie nin wakazi ili kuwaweka katika mazingira bora na salama

Mhe PAUL MAKONDA nakua Kijana Wa kwanza kwa dhati ya moyo kutambua na kuthamini MCHANGO wako Wa HESHIMA na utu kwetu wakazi tusipotambua leo yupo mungu na atakulipa sawasawa na juhudi zako

JAY THE SON
 
Unachoma tu mioyo ya watu,kwenye udiwani wameangukia pua halafu unakuja kutonesha watu na habari za makonda,unataka washindwe kulala?
 
Kwa kipindi kirefu nimekua nikifatilia kwa ukaribu sana namna ambavyo Mkuu Wa mkoa Wa dar alivyo mbunifu jasiri na mthubutu katika kuuletea mkoa maendeleo na kujali RAIA Wa mkoa hasa wanyonge nikiri wazi kuwa mkoa na TANZANIA imechelewa sana kupata aina ya viongozi Wa namna hii na hapa ndipo najifunza ya kuwa ni vigumu kuona MCHANGO na thamani ya viongozi hadi pale wanapokua hawapo

Mhe PAUL MAKONDA ameitwa majina mengi lakini haya yote yamezidi kumpa nguvu ya kutenda Kazi TENA kututumikia Sie ambao tunatumia muda mwingi kumbeza na kujifanya vipofu tusiiona anayoyafanya kiongozi wetu huyu

Mhe huyu amefanya mengi mazuri sote ni mashahidi pamoja na kuwa kama binadamu kuna mapungufu lakini itoshe kutambua na kuthamini MCHANGO Wa Kijana mwenzetu jasiri na anayesimamia kile anachokiamini

Ni wakati Wa wakazi Wa mji huu kutambua na kuthamini juhudi za kiongozi huyu na hakika alichokikusudia kwetu tutakiona sina shaka kuwa na kiongozi anayetumia muda wake mwingi kufikiria awafanyie nin wakazi ili kuwaweka katika mazingira bora na salama

Mhe PAUL MAKONDA nakua Kijana Wa kwanza kwa dhati ya moyo kutambua na kuthamini MCHANGO wako Wa HESHIMA na utu kwetu wakazi tusipotambua leo yupo mungu na atakulipa sawasawa na juhudi zako

JAY THE SON
birds of the same feathers flock together!
 
Unachoma tu mioyo ya watu,kwenye udiwani wameangukia pua halafu unakuja kutonesha watu na habari za makonda,unataka washindwe kulala?

Unajidanganya nafsi yako,kwa kutumia nguvu zile halafu mnajitapa mmeshinda duh shame on CCM.Mpaka jana nimeelewa kwamba CCM bila Polisi mko kama mlenda tu
 
Tye tye Chama cha Mugabe wa Bongo kimeangukia Uchogo
wewe unakanyagia tena juu!!
Vibendera Hoyeeeeeeeeeeeee!
 
Tye tye Chama cha Mugabe wa Bongo kimeangukia Uchogo
wewe unakanyagia tena juu!!
Vibendera Hoyeeeeeeeeeeeee!

Ni kweli kabisa Chama Cha Mugabe aka CCM kimaangukia PUA maana si kwa yale mabomu na kuwaweka wapinzani rumande mpaka wagombea,kisa mnataka kushinda.

Muangalie tu kwamba ushabiki utakapowaishia muliangalie TAIFA.CCM na CHADEMA vitakufa si TAIFA.Jifunzeni kwanza.
 
Makonda anafanya vitu ambavyo mawaziri wengi hawawezi kuvifanya..... Pamoja na kuwa na elimu zao
 
Unajidanganya nafsi yako,kwa kutumia nguvu zile halafu mnajitapa mmeshinda duh shame on CCM.Mpaka jana nimeelewa kwamba CCM bila Polisi mko kama mlenda tu
Hizo ndio tabia za mbowe na wafuasi wake
Kama mlijua kuna polisi kwa nini mliingia kwwnye uchaguzi?
Mbowe anawajulia sana nyie bendera fuata upepo,kanusa kushindwa kakimbilia kutoa tamko
Ni bora mtangaze sasa hivi kujitoa 2020 kwa sababu polisi watakuwepo,msifanye watu mazwazwa
 
Back
Top Bottom