Ninaitaji chumba cha kuishi.. .!

Ninaitaji chumba cha kuishi.. .!

BONINHO

Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
12
Reaction score
2
Nina wasalimu wadau wote mliko humu. Nina tafuta chumba cha kuishi ,maeneo ya ubungo mawasiliano . ninataka single room , kiwe self-contain , dirisha aluminium ,na kiwe ndani ya fence , bae kisiwe juu ya 100,000/=
 
Nina wasalimu wadau wote mliko humu. Nina tafuta chumba cha kuishi ,maeneo ya ubungo mawasiliano . ninataka single room , kiwe self-contain , dirisha aluminium ,na kiwe ndani ya fence , bae kisiwe juu ya 100,000/=
Bae=baby
Au ulimaanisha bei kamanda
 
ungetafuta madalali wa hapo ubungo huoni kama ungepata fasta?
 
Back
Top Bottom