TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,563
Kuna wanaCCM ambao wapo radhi kuipigania CCM yao vyovyote vile wawezavyo,hata ikibidi kuyaweka maslahi ya nchi pembeni watafanya hivyo.Tumeona kashfa nyingi za ufisadi zilizoiandama serikali ya CCM na jinsi wanaCCM walivyosimama kidete kukitetea chama chao.Wamefikia hatua ya kuwanadi Kwenye mitandao ya kijamii baadhi ya wahusika wa ufisadi kugombea kuongoza ofisi kubwa kabisa hapa Tanzania ya urais.
Hizi ndizo aina ya siasa tunazozihitaji hapa Tanzania?
Hizi ndizo aina ya siasa tunazozihitaji hapa Tanzania?