Ninahitaji solar water pump ya kuvuta maji kisimani..

Ninahitaji solar water pump ya kuvuta maji kisimani..

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,664
Reaction score
8,277
Wakuu Habari za Jioni.

Ninahitaji solar water pump ya kuvuta maji kisimani. Kisima kina urefu wa mita 15
Eneo la shamba ni ekari moja Liko Kilimanjaro.
 
Mwaka jana 7.7 hapa Dsm zilikuwepo na ziliuzwa shs. Kama laki 6.5. Bahati mbaya nilipoteza contact zao
 
Njoo nikuuzie Sola ya Kampuni ya Mobisol Watt 200 kwa bei karibu na bure(Panel na Betri yake),kisha utaitumia kwa kazi hiyo ya kuvuta maji kisimani kwako
 
Njoo nikuuzie Sola ya Kampuni ya Mobisol Watt 200 kwa bei karibu na bure(Panel na Betri yake),kisha utaitumia kwa kazi hiyo ya kuvuta maji kisimani kwako
Unauza sh ngapi mkuu solar na pannel yake

sent from HUAWEI
 
Unauza sh ngapi mkuu solar na pannel yake

sent from HUAWEI
Inategemea unataka ya Watt ngapi,kama ni Watt 120(Betri na Panel nauza Laki 550,000),kama ni Watt 200(Betri na Panel nauza 1,000,000),vyote ni vipya
 
Wakuu Habari za Jioni.

Ninahitaji solar water pump ya kuvuta maji kisimani. Kisima kina urefu wa mita 15
Eneo la shamba ni ekari moja Liko Kilimanjaro.
Zipo mkuu na kupm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom