Ninafuga nyoka jamani mnasemaje?

Ninafuga nyoka jamani mnasemaje?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
1157570_575617955809852_547438211_n.jpg


Nyoka huyu ni wa aina gani?
 
1157570_575617955809852_547438211_n.jpg


Nyoka huyu ni wa aina gani?
Huyo ni kinda la Cobra akikua na akianza kukomaa anabadilika rangi ananza na rangi ya zambarau na akikomaa kabisa anakuwa mweusi anakua anahasira sana akiona kitu mbele yake anaweza kukushambulia kwa kukutemea mate au kama upo karibu anakukong'oli ni hatari sana sumu yake
 
Back
Top Bottom