Pole na changamoto mkuu.Sema unanishangaza kidogo.Kwanini unaongea kama vile ni haki yako au ni lazima huyo dada kukubali umuoe.Si na yeye ana maamuzi yake? Sema jamii yetu huwa hatukubali ukweli. Yani tupotupo tu, hata huyo dada ukute ana mtu wake,hakwambii.Si ajabu ana jamaa yake yupo mbali,au wamezinguana so,anatuliza stress kwako.
Kama hutaki kuja kupungua uzito kwa stress, acha kujishaua unapenda sana, osha rungu, chukua time.Kama ni wale wazugaji atakufuata tu.