Kuna wakati nilidhani ana test mitambo tu nikajaribu kumwambia kwamba mimi muda wa kuoa umefika kwa hiyo aniambie au kama vipi niachane naye nitafute mtu mwingine. Akasema it's okey kama naona ananichreewesha basi amenipa ruhusa nitafutr mwanamke mwingine wa kuoa and she was serious on it. Hapo ndo nilichoka