EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
32 halafu una vimvi? Age mate umekwishaWaungwana wa humu nawasalimu sana
Tangu nirudi kanda ya ziwa mwishoni mwa mwaka 2018 nimekutana na hali ya kuamkiwa sana na watu mabinti kwa wakaka
Kisura mi ni HB haswa nna ndevu kiasi zenye mvi kwa mbali kama zile za Mbowe alipotoka Jela kipindi kile
Mustachi Mdogo Mdogo na vindevu kiasi chini ya lips kama vile vya Ramsey Nouh wa Nollywood
Sasa tangu nirudi tena huku kanda ya ziwa hasa maeneo ninayokaa kaa sana nimekua naamkiwa sana na watu,wengine nikiwaangalia naona wamenizidi umri ila wana niamkia,kuanzia ofisini,mitaani,kwenye vyombo vya usafiri ,bar na sehemu nyingine ninazokuwepo watu wamekua wakinipa sana shikamoo
Sasa najiuliza je sura yangu ya kizee au wananionaje hadi wanipe sana shikamoo!?
Mabinti nao hawapo nyuma kuniamkia sasa sijui wanataka kuninyima nini!??
Wale wakongwe waniambia kuamkiwa sana ishara ya nini? Kiumri nina 32 years tu lakini daaa shikamoo nazopewa utadhani mbabu wa miaka 70
Nini chanzo za hizi shikamoo jamaniii??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mimiMimi ni kinyume, vitoto vya under18 vinaniambia mambo!