American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 673
- 973
Habari wapendwa,
Nipo mbele yenu kuwapa taarifa hii nzuri.
Nimepata wazo la kutengeneza Mashine ya Umeme itakayoweza kufua Umeme, mfululizo bila kikomo, (Endless electricity) Wazo hili ni la uhakika, na kiasi cha umeme kitakachofuliwa ni kutokana na setting itakayopangiliwa wakati wa uundaji wa mashine hii, Ni umeme utakaoweza kutumika majumbani bila shida wala usumbufu wa bili.
Source kuu ya ufuaji wa Umeme huu ni Chuma.
Kwa aliye interest juu ya hili aniPM ili tuweze kujadiliana na kufanya project hii ya Uundaji wa mashine hii itakayocost wastani wa TSH mil 1.5
Mimi nina wazo sina Pesa ya Kufanyia hili wazo hivyo kwa mwenye uwezo tunaweza kuwasiliana na kufanya project hii kwa makubaliano maalum.
Asanteni.
Nipo mbele yenu kuwapa taarifa hii nzuri.
Nimepata wazo la kutengeneza Mashine ya Umeme itakayoweza kufua Umeme, mfululizo bila kikomo, (Endless electricity) Wazo hili ni la uhakika, na kiasi cha umeme kitakachofuliwa ni kutokana na setting itakayopangiliwa wakati wa uundaji wa mashine hii, Ni umeme utakaoweza kutumika majumbani bila shida wala usumbufu wa bili.
Source kuu ya ufuaji wa Umeme huu ni Chuma.
Kwa aliye interest juu ya hili aniPM ili tuweze kujadiliana na kufanya project hii ya Uundaji wa mashine hii itakayocost wastani wa TSH mil 1.5
Mimi nina wazo sina Pesa ya Kufanyia hili wazo hivyo kwa mwenye uwezo tunaweza kuwasiliana na kufanya project hii kwa makubaliano maalum.
Asanteni.