killer whale
Member
- Nov 9, 2017
- 60
- 19
Habari zenu wadau
Hapa ninapofanya kibarua kuna store za bidhaa mbalimbali lakini nyingi miongoni mwazo ni madaftari (counter book).
Nimejaribu kumuuliza jamaa ambae anadeal na counter book za five star, amesema box moja ni Tsh 65000 mpaka 68000/=.
Na mawazo ya kununua hizi counter book kwa bei ya jumla kisha nizitangaze ktm social media na target yangu ni kuwauzia watu wa stationery, ofisi shule ama yyte atakaehitaji, naomba mawazo yenu juu ya swala hili.
Hapa ninapofanya kibarua kuna store za bidhaa mbalimbali lakini nyingi miongoni mwazo ni madaftari (counter book).
Nimejaribu kumuuliza jamaa ambae anadeal na counter book za five star, amesema box moja ni Tsh 65000 mpaka 68000/=.
Na mawazo ya kununua hizi counter book kwa bei ya jumla kisha nizitangaze ktm social media na target yangu ni kuwauzia watu wa stationery, ofisi shule ama yyte atakaehitaji, naomba mawazo yenu juu ya swala hili.