Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,806
Katika maisha Yangu Nina ndoto ya kutoa huduma... Hasa huduma ya usafiri!
So katika maisha Yangu napenda biashara zenye uhitaji wa lazima kwa watu..
Sasa kutokana na umasikini hasa katika familia zetu, sina njia yoyote ya kupata mtaji wa kununua chombo Cha usafiri hasa bajaji..
Wazo langu Sasa... Hapa Ninapokaa ninakaa na General wa jeshi la wananchi! Kambi Fulani..(Naficha kwa Sababu za kiusalama)
Nataka nimfuate nimuambie kuwa... Nataka kumsaidia kuwekeza na katika kuwekeza huko anunue bajaji anipe ndani ya miaka miwili ninauwezo wa kumpa milioni kumi na Nne... 14m.
Matumaini yangu General huyu hawezi kukosa zaidi ya 10m ndani... Ko ntajaribu kumshawishi ili aniwezeshe...
Ndugu zangu mnamchango gani juu ya Hili suala...
Nawasilisha.
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
So katika maisha Yangu napenda biashara zenye uhitaji wa lazima kwa watu..
Sasa kutokana na umasikini hasa katika familia zetu, sina njia yoyote ya kupata mtaji wa kununua chombo Cha usafiri hasa bajaji..
Wazo langu Sasa... Hapa Ninapokaa ninakaa na General wa jeshi la wananchi! Kambi Fulani..(Naficha kwa Sababu za kiusalama)
Nataka nimfuate nimuambie kuwa... Nataka kumsaidia kuwekeza na katika kuwekeza huko anunue bajaji anipe ndani ya miaka miwili ninauwezo wa kumpa milioni kumi na Nne... 14m.
Matumaini yangu General huyu hawezi kukosa zaidi ya 10m ndani... Ko ntajaribu kumshawishi ili aniwezeshe...
Ndugu zangu mnamchango gani juu ya Hili suala...
Nawasilisha.
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app