Nasakadoo
JF-Expert Member
- Sep 18, 2014
- 343
- 169
Kwa kuwa siku hizi kuna WhatsApp ndo habari ya muujini siku hizi,sasa nataka ni create Group la Malavi davi na masuala ya mahusiano.
Huko tutaweza kushea Ideas za mahusiano,picha,videos,audios na vimbwanga vya hapa na pale bila kusahau na Exclusive issues za mambo haya,n.k.
Sasa basi kama uko Interested naomba uweke namba yako hapa au ni pm,ambayo umejiunga nayo WhatsApp ili tuwe kitu kimoja huko.
Karibu.
Ni watu 50 tu.
Huko tutaweza kushea Ideas za mahusiano,picha,videos,audios na vimbwanga vya hapa na pale bila kusahau na Exclusive issues za mambo haya,n.k.
Sasa basi kama uko Interested naomba uweke namba yako hapa au ni pm,ambayo umejiunga nayo WhatsApp ili tuwe kitu kimoja huko.
Karibu.
Ni watu 50 tu.