Mark ngengele
Member
- Dec 27, 2019
- 17
- 0
Natanguliza na salama kwa WaJF wenzangu.
Juzi nilijisikia kuwashwa mwili mzima na nikijikuna sifuri wala hapatokei vipele nilienda hospitali nikachomwa sindano. Baada ya wiki nikaanza kusikia kwa mwili maumivu ya mishipa ya damu na kichwa inauma upande wa nyuma.
Juzi nilijisikia kuwashwa mwili mzima na nikijikuna sifuri wala hapatokei vipele nilienda hospitali nikachomwa sindano. Baada ya wiki nikaanza kusikia kwa mwili maumivu ya mishipa ya damu na kichwa inauma upande wa nyuma.