Nina tatizo la gout ipi dawa nzuri?

Nina tatizo la gout ipi dawa nzuri?

Eat a lot of alkaline diet.

Usile products zote za kiwandani,wanyama na fried.

Ukiweza fanya hivo kwa mwezi tu utaona mabadiliko

Sent using Jamii Forums mobile app
Alkaline diet ni aina gani ,kwa nyama sifanyi hivyo chakula changu kikuu ni ugali wali na mboga mboga na maharage wakati wa usiku na wakati mwingine mchana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ambavyo kichwa cha habari kinavyojieleza ndugu zangu nina tatizo la gout(miguu kufa ganzi na joint kuuma)ni dawa gani nzuri ya kutumia ili kumaliza kabisa tatizo asanteni kwa msaada.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda pharmacy wakupe URICEL utumie utapona mara moja, ukiikosa nambie au ukiipata badae unambie matokeo nahitaji feedback.
 
vipi unaendeleaje,tunasubiri mrejesho
Naendelea vizuri kiongozi sikutumia tena dawa nyingine zaidi ya apronial doctor alishauri ipite mwezi ili niwe na uhakika kuwa haijasaidia sana nategemea wiki kwenda tena kufanya vipimo
 
Siku hz magonjwa mengi sana
Tena sana ila nadhani mengi yanatengenezwa na haya haya madawa tunayotumia maana mi sikujua kabisa haya maswala ya uric acid nimeenda dr kanipa dawa na baada ya kuutja ugonjwa nimejikuta sasa ni almost victim wa the so called uric acid anyway najua Mungu ataniponya nitakuwa mzima kabisa
 
Back
Top Bottom