kyagata,
Ni kwel kabisa mkuu, naona tuna case zinanzofanana. Kwa upande wangu mm huwa navutiwa sana na mwanamke lakin kabla sijampata, ila cha ajab nikishampata ile hamu huwa inaisha yoote namuona tu kawaida hata ham ya kukaa nae huwa inapotea kabisa
sijui nina tatizo gani aisee,yani nina tabia ya kukinai kila mwanamke ninaekuwa nae katika mahusiano bila sababu yeyote,mfano kuna binti mrembo tu nilitumia nguvu zangu nyingi kumfukuzia,alivyoingia king tu,nikakaa nae kwenye mahusiano kama two weeks hivi nikaanza kumuona wa kawaida sana na automatically mapenzi yangu kwake yakaanza kupungua na nimeshampotezea tayari mpaka sasa.
kuna ambae amewahi kuexperiance situation kama hii yangu wakuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwel kabisa mkuu, naona tuna case zinanzofanana. Kwa upande wangu mm huwa navutiwa sana na mwanamke lakin kabla sijampata, ila cha ajab nikishampata ile hamu huwa inaisha yoote namuona tu kawaida hata ham ya kukaa nae huwa inapotea kabisa
sijui nina tatizo gani aisee,yani nina tabia ya kukinai kila mwanamke ninaekuwa nae katika mahusiano bila sababu yeyote,mfano kuna binti mrembo tu nilitumia nguvu zangu nyingi kumfukuzia,alivyoingia king tu,nikakaa nae kwenye mahusiano kama two weeks hivi nikaanza kumuona wa kawaida sana na automatically mapenzi yangu kwake yakaanza kupungua na nimeshampotezea tayari mpaka sasa.
kuna ambae amewahi kuexperiance situation kama hii yangu wakuu?
Sent using Jamii Forums mobile app