Nina sh 500,000, nahitaji simu imara!

Nina sh 500,000, nahitaji simu imara!

Junior Tata

Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
18
Reaction score
2
Nina sh. lak 5 nataka kununua smatphone nzur na imara ninayoweza kutumia kwa miaka 4 bila kupatwa na tatzo vile vile iweze kushika mtandao vjijini, n aina gani ya simu inanifaa.
 
Nunua simu yoyote original!
Suala la muda gani itadumu hu tegemea sana na jinsi unavyoitunza na kuitumia!!!
 
Sasa simu itakaaje miaka minne bila tatizo?

Hata jiwe haliwezi kukaa mahali bila kuguswa kwa miaka minne bila tatizo.
 
Duuh watu wana pesa za kuchezea...😃😄
 
Karibu nikupe samsung galaxy E7, ni simu toleo jipya kabisa la Januari 2015 hii yangu ina One Month + glass protector..
Ram Gb 2
Internet Storage GB 16
Front camera MP 5
Back Camera 13MP
Kama upo interested njoo pm tupeane mawasiliano...
 
Nina sh. lak 5 nataka kununua smatphone nzur na imara ninayoweza kutumia kwa miaka 4 bila kupatwa na tatzo vile vile iweze kushika mtandao vjijini, n aina gani ya simu inanifaa.

Nunua simu hii:
Brand name:CHERRY MOBILE
model:FLARE S3
au model yoyote ile ya cherry.
HUTOJUTA KAMWE.

Tatizo huwezi kuipata kirahisi maana inapatikana nje.

Ila tuwasiliane kwa 0753927572.
asante.
 
Nina sh. lak 5 nataka kununua smatphone nzur na imara ninayoweza kutumia kwa miaka 4 bila kupatwa na tatzo vile vile iweze kushika mtandao vjijini, n aina gani ya simu inanifaa.

Nipe laki 6 nikupe LG PRO 2, ram 3gb, memory 32 gb, primary camera 13 mp, na font camera ni 2,1, simu imetumika mwezi 1, iko poa sana ndugu, nichek 0714495367, net ni 4G LTE, niko dar
 
Nina sh. lak 5 nataka kununua smatphone nzur na imara ninayoweza kutumia kwa miaka 4 bila kupatwa na tatzo vile vile iweze kushika mtandao vjijini, n aina gani ya simu inanifaa.
Katika hiyo 500000 yako ongeza tena 90000
Nkupe hii note 3 mupyaaa sm mkataba hii
 
Sumsung Galaxy Note 3 laki 5 yako unachukua mzigo ,ila ni used kwa miez 9, unapewa na box lake
haina tatizo lolote
location: dar es salaam
Contact: 0718 295 182


12208734_711312365635645_8600554226683608438_n.jpg


11987087_711312482302300_952322960840307249_n.jpg


12243111_711312402302308_7592014500396251424_n.jpg
 
Kwa pesa hiyo tafuta simu yenye brand name ya nokia. Hutojutia katika uimara. Kama ni mpenzi wa windows chukua lumia 730. Kama unataka androd nakushauri nunua nokia X2. Hutojutia pesa yako.

Simu za samsung ni jina tuu, hazina kitu, zinachuja haraka, zipo delicate sana.
 
Back
Top Bottom