Nina mpenzi wangu

Mpotezee kuhusu kumtongoza kabisa, we endelea kumsifia na kumsalimia, polepole utamsikia. Usiwe na haraka sana, Mwanamke kukupa moyo wake kwa anayejielewa huwa siyo haraka sana kivile, otherwise kama anatengeneza spare.
Nimekuelewa mkuu, ngoja niwe na subra
 
"ha ha ha nilikuwa na waambia hata mimi ninae tena nakaribia kuoa "
 
Ukizinguliwa unasugua mkono wa birika,,,Kaa karibu na sabuni mkuu
 
mkuu tafuta ile nyimbo ya marlaw bembeleza nafikili ndio jibu lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…