Nina mpenzi wangu

soul provider

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2014
Posts
1,346
Reaction score
2,160
Salam Wakuu!
Kwa kweli miaka ya nyuma nilikuwa napata wakati mgumu sana ninapomtongoza mwanamke halafu anajibu simple tu 'Nina mpenzi wangu'
Nilikuwa nahisi kuishiwa nguvu mwili mzma Mwisho wa siku nakosa totoz kwa sababu stimu za kuendelea kumuimbisha zinakata kabisa!
Wenzangu mlikuwa mnasolve vp mkikutana na jibu kama hili?
 
Nawaheshimu sana wanaosema wanawapenzi...ninawashukuru na kutambaaa
Afu mwisho wa siku anajirudi. Sijui huwa tunabadirika???. Kama unampenzi endelea nae tu hakuna kurudi na kuanza kujipendekeza. Cha ajabu hawa watu wakijipendekeza usipowatongoza wanakutangazia bwa bwa. Hiki kitabia kinauzi hakuna mfano. Kwanza wajue na wanaume wanahisia so akikutosa unamzushia bwa bwa akati ulikataa na kusingizia nyumba yako wapangaji wamejaa
 
Unakomaa nae tu... mwanzo mwanamke anakujibu chochote kile... kadri unavyozidi kumfuatilia mnazoeana na inawezekana akakukubalia kumaliza usumbufu au akakupenda kabisa...
Kula 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…