Nina mpenzi dini tofauti

Nina mpenzi dini tofauti

Joined
Feb 9, 2014
Posts
11
Reaction score
2
Nina mpenzi wangu ninampenda sana naye ananipenda sana infact tunapendana ila sasa mimi baba yangu ni mchungaji yeye kwao mama na baba yake ni waislamu tena swala tano msichana huyo ananipenda sana na anaitaji kuishi na mimi muda wowote nitakaotaka na pia mimi nampenda ni mwanamke mstaarabu na ananipenda pia shida inakuja hapa alijaribu tu kuwauliza wazazi wake kuhusiana na kuoelewa na mkristo alipigwa bonge la kofi je, sasa akisema siku ya kutambulishwa itakuaje na pia mimi nilijaribu tu kuongele jambo hili kua kuna msichana wa kíislamu nampenda baba aligomba wiki nzima tunapendana sana huyu mpenzi wangu je tufanyeje ili tuweze kuishi pamoja?
 
puppy love hilo, huwa lina hisia na mahaba mazito,
gegedaneni tu mkichokana kila mmoja atambae na njia yake.
 
Pesa ndiyo siraha kuu kwenye mahusiano. Tafta hela kijana hawa wazazi wa binti lazima walainike tu mbele ya pesa sabuni ya roho!
 
Cost benefit analysis inahusika sana hapo. Ushauri wangu, husisha wazazi wa pande mbili mapema kabla kufika mbali kwenye mahusiano yenu. Suala la dini linaonekana kama ni kitu kidogo lakini si jambo dogo, inategemea na ninyi wenyewe dini ina sehemu gani kwenu binafsi.

Kuna mambo yatakuja ya mtafungia ndoa wapi, nanai atamfuata mwenzake, kama mtajaliwa watoto watakua dini gani?
Nimekuomba uhusishe wazazi wa pande zote mapema ili kuwasaidia kuamua huku mkijua changamoto zinazowakambili mbeleni. Ukiendelea kusubiri nini kitatokea mara umempa ujauzito mtoto wa watu. Hapo tena mada inabadilika na itabidi hilo suala litatuliwe kwa ngazi na maamuzi tofauti na ya sasa.

Nimezungumzia inategemea nyie wahusika suala la imani mnalichukuliaje kwa sababu sioni sababu ya kufungwa na imani ya wazazi kama nyie wenyewe sio waumini wazuri wa dini zenu.
 
Mie linanihusu sana hili, binti anamtoto sasa, na kaambiwa akibadili dini, nyumbani kwao hawata mtambua.
 
Hakuna geni hata moja,kaeni chini na huyo bint kama mnapendana kweli mtapata suluhu, na kama wewe unawaogopa wazazi wako na yeye pia basi bora msipotezeane mda................
 
Kabla ya kukutana nae ulikua unaishi vp?Piga chini tafuta wa dini yako wapo kibao tu na ni wazuri. Dogo au huyu ndo demu wako wakwanza? Ndoa/mahusiano bila ya baraka za wazazi hayafiki mbali..
Uamuzi mikononi mwako
 
Muulize mchungaji (Baba yako) akufafanulie juu ya uhalali wa Kufunga NIRA kati ya waaminio na wasioamini

Nina mpenzi wangu ninampenda sana naye ananipenda sana infact tunapendana ila sasa mimi baba yangu ni mchungaji yeye kwao mama na baba yake ni waislamu tena swala tano msichana huyo ananipenda sana na anaitaji kuishi na mimi muda wowote nitakaotaka na pia mimi nampenda ni mwanamke mstaarabu na ananipenda pia shida inakuja hapa alijaribu tu kuwauliza wazazi wake kuhusiana na kuoelewa na mkristo alipigwa bonge la kofi je sasa akisema siku ya kutambulishwa itakuaje na pia mimi nilijaribu tu kuongele jambo hili kua kuna msichana wa kíislamu nampenda baba aligomba wiki nzima tunapendana sana huyu mpenzi wangu je tufanyeje ili tuweze kuishi pamoja?
 
Bora hapo ni amani ya moyo wako kama mnapendana na kuheshimiana ndoa mnaweza funga ya kiserikali bt kama unawaheshim wazaz wako achana nae!!
 
Achana nae bana utajiskiaje mama mkwe wako ama baba mkwe wako akiwa anakuita kafiri!?
 
nasikia mtoto anayezaliwa na mwislam na mwanaume wa didi nyingine anhesabiwa kuwa hana baba eti ( Ni mtoto wa mama)
 
Kipi bora umtafute wa dini yako ambae hamtapendana na kuelewana au asie wa dini yako mnaelewana na kupendana
 
nasikia mtoto anayezaliwa na mwislam na mwanaume wa didi nyingine anhesabiwa kuwa hana baba eti ( Ni mtoto wa mama)

anakua mtt w nje y ndoa anakuwa w mama haiwezekani kafir ht govi hakat tumpe mwenetu thats never
 
kama anakupenda atabadili dini hata kwa siri. wazazi hawawezi kuwaingilia.
 
Nina mpenzi wangu ninampenda sana naye ananipenda sana infact tunapendana ila sasa mimi baba yangu ni mchungaji yeye kwao mama na baba yake ni waislamu tena swala tano msichana huyo ananipenda sana na anaitaji kuishi na mimi muda wowote nitakaotaka na pia mimi nampenda ni mwanamke mstaarabu na ananipenda pia shida inakuja hapa alijaribu tu kuwauliza wazazi wake kuhusiana na kuoelewa na mkristo alipigwa bonge la kofi je sasa akisema siku ya kutambulishwa itakuaje na pia mimi nilijaribu tu kuongele jambo hili kua kuna msichana wa kíislamu nampenda baba aligomba wiki nzima tunapendana sana huyu mpenzi wangu je tufanyeje ili tuweze kuishi pamoja?

Dini ni mtizamo tu papuchi hazina dini kabila wala rangi
 
Ndoa inatambuliwa na Mungu,na kuvunjika kwa ndoa ni chukizo kwa mungu. Katika swala hili kama mchangia mada hapo juu, wahusishe wazazi,wakishindwa mchukue mama watoto wako, mpeleke kanisani kwa hiyali yake,akikubali,funga nae ndoa. Ndoa inampendeza mungu,sijawahi kuona andiko ndoa inampendeza mzazi,wala kumchukiza. Japo kuwa mzazi ni mungu wako wa pili hapa duniani. Ktk Islam Mwanamke akiridhia kuolewa, ndoa inafungwa japo kuwa wazazi hawataki
 
Back
Top Bottom