Nina million 7 nahitaji Spacio new model au IST

Nina million 7 nahitaji Spacio new model au IST

Stv Mkn

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
328
Reaction score
275
Habari wadau,

Naitaji gari ya kununua kwa mtu.

Iwe Spacio new model au IST.

Namba D ndio itapewa kipaumbele.

Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali.

Aliye na gari anitumie meseji kwenye Pm

au anipe namba yake nitamtafuta...Kama gari ipo ata leo tunafanya biashara.

Natanguliza shukrani, nipo DSM
 
Hiyo hela tuipeleke shambani mkuu, nina strategy na plans zote na baadhi ya vitendea kazi.


Pesa tu ndio changamoto, tena m7 tutalima shamba kubwa sana. Nipo serious. By next year this time tunaweza kuwa mimi na wewe tunamiliki gari kali zaidi ya hilo. Kila mtu lake na shamba bado mtaji upo
 
People who have grande plans for your money!
Happy holidays mkulima
Hiyo hela tuipeleke shambani mkuu, nina strategy na plans zote na baadhi ya vitendea kazi.


Pesa tu ndio changamoto, tena m7 tutalima shamba kubwa sana. Nipo serious. By next year this time tunaweza kuwa mimi na wewe tunamiliki gari kali zaidi ya hilo. Kila mtu lake na shamba bado mtaji upo
 
Hiyo hela tuipeleke shambani mkuu, nina strategy na plans zote na baadhi ya vitendea kazi.


Pesa tu ndio changamoto, tena m7 tutalima shamba kubwa sana. Nipo serious. By next year this time tunaweza kuwa mimi na wewe tunamiliki gari kali zaidi ya hilo. Kila mtu lake na shamba bado mtaji upo
Hajakwambia anataka kulima, kasema anahitajia gari
 
Hiyo hela tuipeleke shambani mkuu, nina strategy na plans zote na baadhi ya vitendea kazi.


Pesa tu ndio changamoto, tena m7 tutalima shamba kubwa sana. Nipo serious. By next year this time tunaweza kuwa mimi na wewe tunamiliki gari kali zaidi ya hilo. Kila mtu lake na shamba bado mtaji upo

Dah haya mzee asante kwa ushauri. Ila mimi nina mipango yangu pia, usidhani natupa hii pesa.
 
Habari wadau,

Naitaji gari ya kununua kwa mtu.

Iwe Spacio new model au IST.

Namba D ndio itapewa kipaumbele.

Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali.

Aliye na gari anitumie meseji kwenye Pm

au anipe namba yake nitamtafuta...Kama gari ipo ata leo tunafanya biashara.

Natanguliza shukrani, nipo DSM
Nipe namba yako au text me WhatsApp 0718585555
 
Habari wadau,

Naitaji gari ya kununua kwa mtu.

Iwe Spacio new model au IST.

Namba D ndio itapewa kipaumbele.

Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali.

Aliye na gari anitumie meseji kwenye Pm

au anipe namba yake nitamtafuta...Kama gari ipo ata leo tunafanya biashara.

Natanguliza shukrani, nipo DSM
Screenshot_2017-12-19-19-22-47.png


Screenshot_2017-12-19-19-22-37.png


Ukifika 8.2 tutafutane pm
 
Hiyo hela tuipeleke shambani mkuu, nina strategy na plans zote na baadhi ya vitendea kazi.


Pesa tu ndio changamoto, tena m7 tutalima shamba kubwa sana. Nipo serious. By next year this time tunaweza kuwa mimi na wewe tunamiliki gari kali zaidi ya hilo. Kila mtu lake na shamba bado mtaji upo


Wewe ni mzoefu kulima au umerukia rukia tuu hii fani ya kulima?

Naona unapiga hesabu za faida kirahisi kweli.


jiangalie!
 
Hiyo hela tuipeleke shambani mkuu, nina strategy na plans zote na baadhi ya vitendea kazi.


Pesa tu ndio changamoto, tena m7 tutalima shamba kubwa sana. Nipo serious. By next year this time tunaweza kuwa mimi na wewe tunamiliki gari kali zaidi ya hilo. Kila mtu lake na shamba bado mtaji upo
Hata kilimo kiko kinaendelea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom