Habari wadau,
Naitaji gari ya kununua kwa mtu.
Iwe Spacio new model au IST.
Namba D ndio itapewa kipaumbele.
Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali.
Aliye na gari anitumie meseji kwenye Pm
au anipe namba yake nitamtafuta...Kama gari ipo ata leo tunafanya biashara.
Natanguliza shukrani, nipo DSM
Naitaji gari ya kununua kwa mtu.
Iwe Spacio new model au IST.
Namba D ndio itapewa kipaumbele.
Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali.
Aliye na gari anitumie meseji kwenye Pm
au anipe namba yake nitamtafuta...Kama gari ipo ata leo tunafanya biashara.
Natanguliza shukrani, nipo DSM