Nina milioni moja kwa ajili ya Bata.

Nina milioni moja kwa ajili ya Bata.

kzba

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,355
Reaction score
790
Waungwana kwa huyo bajeti naweza kuishi dar kwa siku ngapi msimu huu wa sikukuu kwa maana malazi ya hoteli na misosi Na misele yetu ya mimi pamoja na manzi wangu sisi tunatoka mkoani huku.
NB
Gari ninalo.
 
Saa nne asubuhi ya siku moja mpaka saa nne asubuhi ya siku inayofuata hiyo pesa ishakwisha...


Cc: mahondaw
 
Bata mmoja ni kati ya 25 mpaka 30 elfu hasa msimu huu wa sikukuu.

Hapo ktk million una mabata kama yote.
Loh! Hv ni kweli hujanielewa ama makusudi tu somo
 
Waungwana kwa huyo bajeti naweza kuishi dar kwa siku ngapi msimu huu wa sikukuu kwa maana malazi ya hoteli na misosi Na misele yetu ya mimi pamoja na manzi wangu sisi tunatoka mkoani huku.
NB
Gari ninalo.
Kiubishi inatosha kiubishi maana kuna lodge mpaka 10000, misosi kwa mam nilie buku jero sahani na maji ya kunywa
 
Week moja tu hiyo hela inakutosha, kama utakula bata la wastani.
Kama ni la kujibana bana sana week mbili.

Kama ni la kufuja sana ni siku 3 tu.
 
Waungwana kwa huyo bajeti naweza kuishi dar kwa siku ngapi msimu huu wa sikukuu kwa maana malazi ya hoteli na misosi Na misele yetu ya mimi pamoja na manzi wangu sisi tunatoka mkoani huku.
NB
Gari ninalo.
Inategemea ni bata wa aina gani unataka kula. Kama viwanja vyako ni aina Rose Garden au Break Point na kulala ni guest za mitaani zenye hadhi ya kati kwa watu wawili tu ni siku tatu. Kama viwanja ni Hyatt Regency hiyo fedha haitoshi hata siku moja.
 
Hiyo pesa ni nyingi sanaa! Ukifika nenda maeneo ya Manzese Tiptop kuna hotel nzuri sanaa kwa Tsh. 50,000/= tu hiyo ni Kulala na Chai. Halafu kila siku unatumia laki mbili Unamla Bata mpaka Unakinai. Angalizo mwenzi wa kwanza ni mrefu sanaaa.
 
Waungwana kwa huyo bajeti naweza kuishi dar kwa siku ngapi msimu huu wa sikukuu kwa maana malazi ya hoteli na misosi Na misele yetu ya mimi pamoja na manzi wangu sisi tunatoka mkoani huku.
NB
Gari ninalo.
Kama manzi wako amekuruhusu utumie milioni moja kwenye bata basi huyo sio mke!! Piga chini mapema.
 
Back
Top Bottom