Nina milioni 2 nahitaji gari Automatic

Nina milioni 2 nahitaji gari Automatic

Hahaha Kingkong na Fank nyie kama CCM na UKAWA,yaani huwa haziungi.
Frank unajua humu JF mtu akikubeza ndio anakupa akili na njia pia ujasiri.
Kuna watu wanaweza kukupa jibu kama unakula unaacha kwa hasira.
Nimependa ujasiriamali wako ni mzuri sana tu,ila kuwa makini sana.
Ngoja namie niige kwa huku Zanzibar maana gari hizo kibao zipo kwenye majumba ya watu wanafugia kuku.
umeona zanz, yan huyu king kong huwa ananichachafya sana! bas tu ila dawa yake ipo jikoni
 
kaka ninauza gariyangu Baloon chaser ikovizuri na inatembea. bei poa 2ml. nitafute 0713377167
 
Aisee mleta uzi tulikuzingua kumbe kweli gari za 2m zipo nyingi namna hii?
Kweli maisha rahisi.
Frank wiki ijayo hembu sukuma uzi wa kutaka gari la 1.5,naamini utapata.Maana kama 2m zipo nyingi hivi tena bila ku bargain basi ukisema 1.5 unapata pia.
Safi sana umetufungua macho wengine kwamba gari ni rahisi sana hasa hizi za kutembelea.
Ungefanya tu Suala la moja,ungepeta mtu njeya nchi akawa anakuletea Engine.Hapo ndio ungepeta.Maana zipo gari ambazo bodi kama mpya ila Engine ndio tatizo,sasa kama ukiset na Engine basi unauza bei nzuri sana tu.
 
Frank jb, iko corola #ADW jamaa alichukua laki 5 kwangu na thamani yake ni 2m. Huwa naiwasha na kuzima tu na nzima kabisa. Njoo tuzungumze maana jamaa amekiri kushindwa kulipa deni na riba na mimi nina gari nyingine ya matumizi.
 
Last edited by a moderator:
Aisee mleta uzi tulikuzingua kumbe kweli gari za 2m zipo nyingi namna hii?
Kweli maisha rahisi.
Frank wiki ijayo hembu sukuma uzi wa kutaka gari la 1.5,naamini utapata.Maana kama 2m zipo nyingi hivi tena bila ku bargain basi ukisema 1.5 unapata pia.
Safi sana umetufungua macho wengine kwamba gari ni rahisi sana hasa hizi za kutembelea.
Ungefanya tu Suala la moja,ungepeta mtu njeya nchi akawa anakuletea Engine.Hapo ndio ungepeta.Maana zipo gari ambazo bodi kama mpya ila Engine ndio tatizo,sasa kama ukiset na Engine basi unauza bei nzuri sana tu.

ashawah kuuleta uzi wa kutafuta gari la 1.5 M..
 
Umeshapata? Kama bado corola limited 100 ipo na hali nzuri, tuwasiliane no, 0683447725
 
mi na milion 4. 5 kama kuna vits au swift au corolla premier karibu tuwasiliane no 0768851396 sawa wakuu! najaribu bahati lakibi
 
mi na milion 4. 5 kama kuna vits au swift au corolla premier karibu tuwasiliane no 0768851396 sawa wakuu! najaribu bahati lakibi


Uko serious pesa mkononi au unafanya window shopping mkuu?
 
mi na milion 4. 5 kama kuna vits au swift au corolla premier karibu tuwasiliane no 0768851396 sawa wakuu! najaribu bahati lakibi
Wala usijali,kama Frank kapata ya 2m,basi wewe 4.5 ni kubwa sana.
Watu watakuja tu,Cyberteq na yeye anabeep
 
Una kesi ya kutakatisha fedha mkuu, umkopeshe mtu 1.5m within 18days ulipwe laki5 as interest? E Mungu wangu, una dini kweli ww kijana? Ni dhambi kubwa hiyo unayofanya ndg yangu!

Unaweza kusema bora ya huyu, haibi cha mtu, adhulumu mtu, sio sawa na wauza madawa ya kulevya wanaosababisha kuwaharibu mamilioni ya vijana.
 
mkuu wewe mchumi sana, wasiliana na charger atakuuzia gari lake alilonunua humu jamvini kwa sth laki2 tu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom