Nina milioni 2 nahitaji gari Automatic

Nina milioni 2 nahitaji gari Automatic

Nenda showrooms yapo mengi sana. Kama unahitaji la mkononi mtafute Davis Mosha akuuzie ile Lambourgin yake. Mara ya mwisho alikuwa anauza million moja na nusu.
 
gari hili hili la matairi manne lenye bodi na injini?
 
Nenda museum ile ya posta unaweza ukauziwa zile Rolls Royce
 
Hii sio mbvaya wala huna haja ya AC
c.jpeg


Hii ya pili unaweza kuamka asubuhi mwenyewe ukawa unapata burudani kiasha unashuka unaendelea nakazi zako.
cc.jpeg
 
Hahaha,unamtibulia mkuu,mkurugenzi wa Taasisi ya kukopesha Pesa anataka gari ya 2m
sio kwamba ananitibulia ninachofanyaga nanunua gari nairekebisha then nauza mkoani mkuu, siokwa ajili ya kutembelea mimi kama wengi wanavyodhan, maana humu kuna watu wa kukatisha wenzao tamaa kumbe wengine twasonga mbele. mfano majuzi nilikuja humu natafuta gari la milioni moja na nusu, kuna watu walinibeza lakin mwisho wa siku nilipata gar kwa bei hiyo nilichofanya hiyo gar nikairekebisha matengenezo madogo kwa shilingi laki saba tu! baada yapo nikaipeleka mkoan nikaiuza kwa milioni nne na laki mbili kwahivyo nikaweza kupata faida ya milioni mbili. je hapo mkuu maisha hayajasonga mbele? sasa mtu unapokuja humu unatafuta gari la milioni mbili watu wanabeza ila nimeishazoea!
 
ile inaendelea mkuu
majuzi kuna mtu alitaka mkopo kwangu wa milion moja na nusu na riba yangu ilikuwa n tshs. laki tano ina maana alitakiwa arudishe milion mbili akaweka dhamana ya gar ya nissan march within 18 days akawa amrudisha hela kwahivyo faida yangu ikawa laki tano within 18 days! je hapo mkuu maisha hayajasonga mbele? lakin mtu akija na mada yake kama bas wapo watakaotukana na kubeza pia lakin mwisho wa siku najikuta naingiza milion mbili mpaka mbili na nusu hivi hivi! wakunibeza aendelee kunibeza sina tatzo na mtu
 
majuzi kuna mtu alitaka mkopo kwangu wa milion moja na nusu na riba yangu ilikuwa n tshs. laki tano ina maana alitakiwa arudishe milion mbili akaweka dhamana ya gar ya nissan march within 18 days akawa amrudisha hela kwahivyo faida yangu ikawa laki tano within 18 days! je hapo mkuu maisha hayajasonga mbele? lakin mtu akija na mada yake kama bas wapo watakaotukana na kubeza pia lakin mwisho wa siku najikuta naingiza milion mbili mpaka mbili na nusu hivi hivi! wakunibeza aendelee kunibeza sina tatzo na mtu

Mkuu mbona unajisifia sana?
 
majuzi kuna mtu alitaka mkopo kwangu wa milion moja na nusu na riba yangu ilikuwa n tshs. laki tano ina maana alitakiwa arudishe milion mbili akaweka dhamana ya gar ya nissan march within 18 days akawa amrudisha hela kwahivyo faida yangu ikawa laki tano within 18 days! je hapo mkuu maisha hayajasonga mbele? lakin mtu akija na mada yake kama bas wapo watakaotukana na kubeza pia lakin mwisho wa siku najikuta naingiza milion mbili mpaka mbili na nusu hivi hivi! wakunibeza aendelee kunibeza sina tatzo na mtu

Una kesi ya kutakatisha fedha mkuu, umkopeshe mtu 1.5m within 18days ulipwe laki5 as interest? E Mungu wangu, una dini kweli ww kijana? Ni dhambi kubwa hiyo unayofanya ndg yangu!
 
sio kwamba ananitibulia ninachofanyaga nanunua gari nairekebisha then nauza mkoani mkuu, siokwa ajili ya kutembelea mimi kama wengi wanavyodhan, maana humu kuna watu wa kukatisha wenzao tamaa kumbe wengine twasonga mbele. mfano majuzi nilikuja humu natafuta gari la milioni moja na nusu, kuna watu walinibeza lakin mwisho wa siku nilipata gar kwa bei hiyo nilichofanya hiyo gar nikairekebisha matengenezo madogo kwa shilingi laki saba tu! baada yapo nikaipeleka mkoan nikaiuza kwa milioni nne na laki mbili kwahivyo nikaweza kupata faida ya milioni mbili. je hapo mkuu maisha hayajasonga mbele? sasa mtu unapokuja humu unatafuta gari la milioni mbili watu wanabeza ila nimeishazoea!

Nenda ukawaongopee huko huko mkoani.
 
Una kesi ya kutakatisha fedha mkuu, umkopeshe mtu 1.5m within 18days ulipwe laki5 as interest? E Mungu wangu, una dini kweli ww kijana? Ni dhambi kubwa hiyo unayofanya ndg yangu!
nimeishakuzoea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom