Hapana mkuu, akiliyangu inanituma nijipoze kwa beki 3 tu. Tatizo wapi nitaiweka surayangu pindi yakiharibika.
Dah! Tangu tareh 21/5/2014 sijaosha rungu langu. Ninamshawasha lakini ndio hivyo tena mshika dau analea. Wapi nitaenda kuchuja nafaka wakati nikubali kuapa mbele ya mashahidi kua "nitamvulia mwenzangu kwa maradhi na uzima"? Sasa mwenzangu ndio hivyo kama alivyo.
Na alivyo kalilishwa vibaya kua akinipa, mtoto atabemendeka! ndio usiseme. Nifunzeni mkubwa mwenzenu jinsi ya kujikwamua na mtihani huu, maana hali inakaribia kunishinda.
Sitaki nibake kuku nikaonakana kituko mbele ya jamii.
Miezi. 6 umeshkika hivyo.watu tuna miaka na hatuna habari
hahhhaha we ukishikwa tu sikio unaeza kupiga yowe aseee
Haahaa nan kakuambia?
Mkuu Kitoabu nafikiri miezi mitatu akishamaliza uzazi bana
Mpaka amalize kunyonya mbona majanga. Mi mtoto wangu ana miaka miwili na kitu na bado analitafuta ziwa anyonye aise ukae miaka miwili hujaonana na wife hilo ni gereza au adhabu mkuu. Miezi mitatu naamini inatosha kabisa ni kuwa tuu makini maana hesabu zao hapo huwa zimeharibika unaweza kujikuta ana mimba nyingine aise usipikuwa makini
Na naamini anachoogopa mke wako ni mimba wala sio suala la kusema mtoto mpaka aache kunyonya
mmmh chezea genye wewe.... utaongea kitanga mwaka sio mchezo!!!
Siku 40-70 kama amejifungua kawaida na hana matatizo
Miezi. 6 umeshkika hivyo.watu tuna miaka na hatuna habari
Dah! Tangu tareh 21/5/2014 sijaosha rungu langu. Ninamshawasha lakini ndio hivyo tena mshika dau analea. Wapi nitaenda kuchuja nafaka wakati nikubali kuapa mbele ya mashahidi kua "nitamvulia mwenzangu kwa maradhi na uzima"? Sasa mwenzangu ndio hivyo kama alivyo.
Na alivyo kalilishwa vibaya kua akinipa, mtoto atabemendeka! ndio usiseme. Nifunzeni mkubwa mwenzenu jinsi ya kujikwamua na mtihani huu, maana hali inakaribia kunishinda.
Sitaki nibake kuku nikaonakana kituko mbele ya jamii.
Miaka!!!Shikamoo mama!sasa huyo mamayetu akiwasha una solve genye vipi?