Nina miaka 39 - Natafuta Mchumba

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
36,477
Reaction score
45,050
Muda umefika sasa wa kutafuta jiko - yaani kuoa. Nina miaka 39 sasa natafuta binti mtanashati, mrembo, mpole na mshika dini - awe ana miaka 22 hadi 24 asiwe na mtoto, msomi walau kidato cha nne; mrefu wa futi 5.8 na kuendelea asiwe Bonge uzito kilo 45-55 hivi, awe maji ya kunde au rangi ya chungwa itakuwa mwaaa zaidi.

Mengineyo tutaongea nikimwona na tukianza mahusiano - awe mcha Mungu na asiwe na makuu yaani macho juu uu - asiwe na tamaa - sichagui dini wala kabila. karibuni warembo.

Naambatanisha haka ka picha kangu nimekachukua nikiwa Gym leo asubuhi - Asanteni kwa ushirikiano wenu.

Sifa yangu ya pekee najua kupenda!!

 
Mzee baba umekuwa KAI GREEN wa kule Marekani?..........au umeamua kufurahisha baraza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…