Binti kaniacha njia panda,nilipomseduce aliniambia ana mchumba,nilipoendelea kumapproach anasema atanifikiria nimpe wiki moja . I m stuck kama ana mchumba ananifikiria ili iweje ? Au ndo danganya toto ?
Binti kaniacha njia panda,nilipomseduce aliniambia ana mchumba,nilipoendelea kumapproach anasema atanifikiria nimpe wiki moja . I m stuck kama ana mchumba ananifikiria ili iweje ? Au ndo danganya toto ?
Unamseduce_anakuambia ana mchumba......unaendelea kumapproach_anakuambia atakufikiria,sijaona kosa na usichokielewa hapo mkuu,...suala ni ung'ang'anizi wako ndio uliompelekea kutoa majibu hayo_ambayo for sure ni ya kistaarabu sana,maake angekua mwingine angekupa za uso_lakn huyu binti hakutaka kukuumiza...wachumba wa watu ni sumu_acha
Binti kaniacha njia panda,nilipomseduce aliniambia ana mchumba,nilipoendelea kumapproach anasema atanifikiria nimpe wiki moja . I m stuck kama ana mchumba ananifikiria ili iweje ? Au ndo danganya toto ?
Binti kaniacha njia panda,nilipomseduce aliniambia ana mchumba,nilipoendelea kumapproach anasema atanifikiria nimpe wiki moja . I m stuck kama ana mchumba ananifikiria ili iweje ? Au ndo danganya toto ?
Vuta subira kwan hapo kuna mawili inawezekana ana mchumba kweli au anakusikilizia kuona urserious wako,kwavile kakujibu kistarabu tuliza boli baada ya wiki potezea km siku mbili hiv ukiona kimya,ulizia jibu,likiwa lilelile basi achana naye na usimsumbue na uheshimu maamuzi yake,km ukikubaliwa uwe makin coz huyu anaonekana ni msichana aliyemakini ktk maamuzi yake.
Binti kaniacha njia panda,nilipomseduce aliniambia ana mchumba,nilipoendelea kumapproach anasema atanifikiria nimpe wiki moja . I m stuck kama ana mchumba ananifikiria ili iweje ? Au ndo danganya toto ?