KUNGURUHAFUGIKI
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 346
- 74
Habari zenu wakuu nisaidieni mambo haya
1. Hivi PESA tunazotumia huwa zinatengenezwa nchini mwetu au nchi nyingine?
2. Na vitu gan vinashusha thamani fedha ya nchi yetu?
3. Na kama inatengenezwa Tanzania kwa nini zisitengenezwe nyingi ili nchi isiwe na madeni na kuomba msaada
4. Na bajeti inayopangwa bungeni ni fedha zinatumiwa kwa mwaka au?
1. Hivi PESA tunazotumia huwa zinatengenezwa nchini mwetu au nchi nyingine?
2. Na vitu gan vinashusha thamani fedha ya nchi yetu?
3. Na kama inatengenezwa Tanzania kwa nini zisitengenezwe nyingi ili nchi isiwe na madeni na kuomba msaada
4. Na bajeti inayopangwa bungeni ni fedha zinatumiwa kwa mwaka au?